Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama baba wa uongo ni shetani,basi baba wa ujambazi ni .....Kwani uongo? Magufuli alilea majambazi!
Kweli kabisa.Hawawezi kumchafua Magufuli, kazi aliyoifanya ni kubwa mno.
Sisi tupo tumejaa teleChawa wa Jiwe mnapata tabu sana ! jiwe kishang'oka , NDIO BASI TENA
Basi waliotumbuliwa na huyo mwendakuzimu ni "smart" mara 100 zaidi ya mtumbuaji.Asilimia kubwa ya sana jf....ni wale walitumbuliwa na Jpm that's y wanamclash sana legendary magufuli
Basi Magufuli hakuwa rais zaidi ya "sanamu".Gaidi wenu alihusika sana yaani aliteka ili Magufuli aonekane mbaya
Hahaaaa mnafurahisha sana pro mwendazake, aka sukuma gang,,Ataomba kwenye chama ...chama hakimuogopi mtu
Pole kwa kuwa mjane.Gaidi lenu lilopo jela
Kazi za utekaji na ukandamizaji haki za watu, + uuaji? Karma is a bitch,!! Unalipwa sawa na matendo yako!!your foot ina funza huwezi elewa
swadaktaKazi za utekaji na ukandamizaji haki za watu, + uuaji? Karma is a bitch,!! Unalipwa sawa na matendo yako!!
Andika barua ukamtoehadi leo huwa sijui kwanini happi bado yupo kwenye hii serikali. huwa sielewi kabisa kwasababu wenzake wote walishadondokea pua. kwa kiburi kile cha kumkemea JK hadharani na kumtishia kumshughulikia? kitoto kidogo kama kile kinamtishia Rais Mstaafu aliyetawala nchi kwa miaka 10. just imagine.huwa hata sielewi.
Anasemwa mungu itakua jpm,, we unafikiri kutishiwa mguu wa kuku bila kosa, mchezo?Kama Nape Nnauye anamaanisha Jemedari aliyetangulia mbele za haki Mhe. Dr John Pombe Magufuli kuwa Godfather wa PolePole basi anapaswa kutuomba radhi.
Iwapo anahisi the so called Godfather alimshindwa basi ajue nyuma ya Godfather lipo kundi kubwa sana la MaGrand GodFathers.
Pia ni muhimu kujua kwamba Hata Godfather wake anaweza kuondoka siku moja na God grand Father akachukua hatamu.
Hakuna atakayekaa kwa amani iwapo atamchafua the late and the legend JPM.
Makundi yote ndani ya CCM yajiepushe kuchafua viongozi wetu waadilifu waliopita .
Ipo siku tutahoji kifo cha Magufuli
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Jamaa yuko frastireted sana yaani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumbe Godfather ni tusi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yule lazima alikua kichomi,,, deep coverhadi leo huwa sijui kwanini happi bado yupo kwenye hii serikali. huwa sielewi kabisa kwasababu wenzake wote walishadondokea pua. kwa kiburi kile cha kumkemea JK hadharani na kumtishia kumshughulikia? kitoto kidogo kama kile kinamtishia Rais Mstaafu aliyetawala nchi kwa miaka 10. just imagine.huwa hata sielewi.
Uzuri saa hizi hamuwezi kuua ua ovyo tena kwahiyo watanzania wako salama sana sasa, Rip lwajabeHAKIKA TUTAHOJI JAPO TUKIUNGANISHA DOTI TUNAELEWA.
NAMUUNGA MKONO MTOA POST UKITAKA KUWA SALAMA USIMTAJE JPM WETU BADO TUNAMUOMBOLEZA TUNA UCHUNGU MKUU.
HAKUNA AMBAE HATAKUFA NI SWALA YA MUDA TU.