Iwe isiwe Simba mabingwa msimu huu

mbumbumbumbumbumbumbu
 
Kimsingi kwa mara nyingine trna msimu huu simba hatashinda ubingwa wowote ule wa maana! Kuanzia Ngao ya Jamii (alikosa), Ubingwa wa ligi kuu (tayari amekubali matokeo), na hata ule wa ASFC, (nao ataukosa).
 
Waarabu wanasema lisanu lhaal afdhwaal min lisaani lmaqaal
Ulimi wa vitendo ni bora kuliko ulimi wa mdomo yaani vitendo ni Bora kuliko maneno
Kula chuma hicho
 

Attachments

  • 255653250535_status_cd1ed24831804a0aa3eb68ac910dabb1.mp4
    1.8 MB
Hamjamuelewa kuna kasiri amewatega...Amesema " mtake misitake"
Hivyo katania na simba isipochukua kombe atawaambia hamkumuelewa🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…