Iwe mwisho kumfananisha mwamba wa lusaka na vitu vitu vyenu!

Iwe mwisho kumfananisha mwamba wa lusaka na vitu vitu vyenu!

Sina sababu ya kuelezea sana! Mwamba anajieleza mwenyewe! Nasema mwisho leo kumlinganisha na hiyo michembe {mabumunda} yenu.
230605756_2396685807142940_8252564083641687925_n.jpg
 
We tahaira uyo chama unaemsema anaonekana kwenye mechi Kama izo za kagera sugar, muweke kwenye mechi dume Kama ajapelekwa benchi
 
Chama anamechi zake zile nyepesinyepesi .
 
Mwamba derby zote 3 na sisi mmemtoa nje kwendabenchi

Ni huyu huyu anayeelezwa kuwa yupo slow

Mwenzake Tuisila bado anakula kuku huko umangani,yeye tuko nae hapa hapa mburahati

Ana nini cha ajabu?

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Tuisilaa yupi tena? Keshatimuliwa,adebayor in...uncle ibenge anataka amvute al hilal maboss hawataki wanmtaka sakho
 
Mchezaji anacheza taratibu kama konokono anatembea[emoji3][emoji3][emoji3]
 
We tahaira uyo chama unaemsema anaonekana kwenye mechi Kama izo za kagera sugar, muweke kwenye mechi dume Kama ajapelekwa benchi
Vipi kuhusu game kama kaiza chief na nyingine nyingi za CAF...acheni mechi za yanga na simba mnazologa
 
Back
Top Bottom