Iwe mwisho kumfananisha mwamba wa lusaka na vitu vitu vyenu!

Mwamba derby zote 3 na sisi mmemtoa nje kwendabenchi

Ni huyu huyu anayeelezwa kuwa yupo slow

Mwenzake Tuisila bado anakula kuku huko umangani,yeye tuko nae hapa hapa mburahati

Ana nini cha ajabu?

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Hata kwenye zile nne mlizokula hakuwa na chaajabu...!!! Ni hvyo watu tumeumbiwa kusahau
 
Sina sababu ya kuelezea sana! Mwamba anajieleza mwenyewe! Nasema mwisho leo kumlinganisha na hiyo michembe {mabumunda} yenu.
Mchezaji wa mechi ndogo huyo hana uwezo wa kuibeba Thimba kwenye mechi ngumu.Kalai tu hilo huna Cha kujivunia na kutamba
 
Binafsi nimefurahi sana makolo kushinda hizi match za kwa mkapa ili wajidanganye timu yao iko vizuri wakija kushtuka too late
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…