Lakini hata chama chetu pendwa na chenyewe, kilifanya hiyo mistake! Tena si afadhali ACT ambao sioni mtu yeyote ambae ange-fit lakini CHADEMA walikuwa na mtu imara kweli kweli, Dr. Slaa lakini tukaamua kumleta Lowassa!!ACT ni CCM B mzee achana nayo
Kwahiyo mnakubalika halafu bado mnaiba kura, tena kwa fujo huku mkituma polisi kupiga virungu wale wote wenye mwelekeo wa upinzani?Upinzani hawana watu wenye USHAWISHI wa kukubalika na nchi nzima.
Ndio maana wanakiangalia CHUO KIKUU CHA SIASA TANZANIA....CCM.
CCM ndiko wanakopikwa makada nguli, wabobezi wanaoendana na SIASA ZA TAIFA HILI.
Siasa za CCM ni umbile safi linaloendana na TANGANYIKA NA ZANZIBAR iliyoleta TANZANIA.....nje ya hapo ni HISIA TU.....HISIA TU....nje ya hapo hakuna UHALISIA
#SiempreCCM
#CCMNiImaniHaswa
Kama ni imara kwanini alirudi CCM badala ya kuanzisha chama chake?Lakini hata chama chetu pendwa na chenyewe, kilifanya hiyo mistake! Tena si afadhali ACT ambao sioni mtu yeyote ambae ange-fit lakini CHADEMA walikuwa na mtu imara kweli kweli, Dr. Slaa lakini tukaamua kumleta Lowassa!!
Mbona CCM hiyo hiyo inafanya mikutano ya hadhara, kutumia polisi, kukamata wapinzani n.k, Kwanini msiruhusu tume huru ya uchaguzi na mikutano ya hadhara kama mnavyofanya nyie CCM?Upinzani hawana watu wenye USHAWISHI wa kukubalika na nchi nzima.
Ndio maana wanakiangalia CHUO KIKUU CHA SIASA TANZANIA....CCM.
CCM ndiko wanakopikwa makada nguli ,wabobezi wanaoendana na SIASA ZA TAIFA HILI.
Siasa za CCM ni umbile safi linaloendana na TANGANYIKA NA ZANZIBAR iliyoleta TANZANIA.....nje ya hapo ni HISIA TU.....HISIA TU....nje ya hapo hakuna UHALISIA.
#SiempreCCM
#CCMNiImaniHaswa
Ndiyo maana wanatumia nguvu kubwa kuua upinzaniKwahiyo mnakubalika halafu bado mnaiba kura, tena kwa fujo huku mkituma polisi kupiga virungu wale wote wenye mwelekeo wa upinzani?
CCM ni zaidi ya chama cha siasa.Kwahiyo mnakubalika halafu bado mnaiba kura, tena kwa fujo huku mkituma polisi kupiga virungu wale wote wenye mwelekeo wa upinzani?
Jibu swali nililokuulizaCCM ni zaidi ya chama cha siasa.....
CCM ni IMANI na UMBILE la nchi hii....
Kalaghabaho
Tuache masihara mkuu!!! Yaani unaweza kutilia shaka uimara wa Slaa wa kabla ya Lowassa?! Karudi CCM kwa sababu Wanasiasa sio watu wa kuwaamini lakini hiyo haiondoi ukweli kwamba Slaa alipambana sana hadi siku ya mwisho alipowekwa pembeni kwa ajili ya mtu aliyeitumikia CCM kwa maisha yake yote!Kama ni imara kwanini alirudi CCM badala ya kuanzisha chama chake?
Dr Slaa alikua Imara Kwa Nini?!!.. Wewe ndio unamjua Slaa huko Vijijini wanamjua?Lakini hata chama chetu pendwa na chenyewe, kilifanya hiyo mistake! Tena si afadhali ACT ambao sioni mtu yeyote ambae ange-fit lakini CHADEMA walikuwa na mtu imara kweli kweli, Dr. Slaa lakini tukaamua kumleta Lowassa!!
Siasa za CCM ndio baba wa kufisidi nchi na mama wa kudumaza maendeleo... Usisahau hiyo mnyonge mwenzangu maana sisi wanyonge bado tunanyongeka huku wala nyama wakisifiwa utukufu na watupiwa mifupa!Upinzani hawana watu wenye USHAWISHI wa kukubalika na nchi nzima.
Ndio maana wanakiangalia CHUO KIKUU CHA SIASA TANZANIA....CCM.
CCM ndiko wanakopikwa makada nguli ,wabobezi wanaoendana na SIASA ZA TAIFA HILI.
Siasa za CCM ni umbile safi linaloendana na TANGANYIKA NA ZANZIBAR iliyoleta TANZANIA.....nje ya hapo ni HISIA TU.....HISIA TU....nje ya hapo hakuna UHALISIA.
#SiempreCCM
#CCMNiImaniHaswa
Leo Dr Slaa yuko wapi ?!. Hili nalo mbona hulioni ?!Lakini hata chama chetu pendwa na chenyewe, kilifanya hiyo mistake! Tena si afadhali ACT ambao sioni mtu yeyote ambae ange-fit lakini CHADEMA walikuwa na mtu imara kweli kweli, Dr. Slaa lakini tukaamua kumleta Lowassa!!
Siasa kokote iliko....ina watu wake.Siasa za CCM ndio baba wa kufisidi nchi na mama wa kudumaza maendeleo... Usisahau hiyo mnyonge mwenzangu maana sisi wanyonge bado tunanyongeka huku wala nyama wakisifiwa utukufu na watupiwa mifupa!!
CCM inawenyewe au sio??
Naunga mkono hoja, Edward Lowassa ameisaidia sana Chadema, ila ni watu tuu hawana shukrani. Tena alikuwa afanye hayaMnyonge mnyongeni, haki yake mpeni. Pamoja na yote lakini Edward Lowassa alijitahidi kuipambania CHADEMA kwenye uchguzi mkuu wa 2015
CCM hii haina tofauti na Bokoharam,wanachoweza ni utekaji, utesaji, mauaji na wizi wa kura. CCM kama chama cha siasa ilishajifia siku nyingi sasa hivi ni genge la kihalifu linalotegemea mitutu ya bunduki.Upinzani hawana watu wenye USHAWISHI wa kukubalika na nchi nzima.
Ndio maana wanakiangalia CHUO KIKUU CHA SIASA TANZANIA....CCM.
CCM ndiko wanakopikwa makada nguli ,wabobezi wanaoendana na SIASA ZA TAIFA HILI.
Siasa za CCM ni umbile safi linaloendana na TANGANYIKA NA ZANZIBAR iliyoleta TANZANIA.....nje ya hapo ni HISIA TU.....HISIA TU....nje ya hapo hakuna UHALISIA.
#SiempreCCM
#CCMNiImaniHaswa
Tuache ushabiki!! Hivi tunaweza kulinganisha utokaji wa Dr. Slaa na Lowassa kwenda CCM? Isitoshe, nimesema mwaka 2015 CHADEMA kulikuwa na mtu imara! Kukataa ukweli ni kutaka kuleta ushabiki usio na maana. Tusijisahaulishe uchaguzi mkuu wa 2010 Dr. Slaa ndie alipeperusha bendera ya CHADEMA, na alipata zaidi ya kura 2M.Leo Dr Slaa yuko wapi ?!. Hili nalo mbona hulioni ?!
Kama Lowassa alitoka Ccm baada ya figisu. Dr Slaa naye alitoka Cdm baada ya figisu hizo hizo za uchaguzi. Na wote walikimbilia upande wa pili .