Iwe uongo au kweli, hapa Upinzani wana cha kujifunza

Sasa inakuaje wanawachukua wapinzan kwa gharama na kuwapa nafasi za uongoz mpaka uwazir, ukuu wa mkoa na wilaya?
 
Unawashauri wajifunze lipi? Na wakajifunze wapi maana hawaruhusiwi kufanya siasa.
 
Nakubaliana nawe kidogo kwenye uhuni wa Membe. Lakini kwenye swala la wasiasa kuhama toka chama A na kwenda cha B sikubaliani nawe. Hapa masilahi binafsi huchukuwa nafasi kuliko itikadi.

Ni wakosoaji wengi wa upinzani. Naona wanataka kuiona Cdm ikiwa na roho ya malaika na kuibariki ushetani wa Ccm . Wakihama toka upinzani na kuzawadiwa vyeo hatuoni ajabu. Lakini wakihama toka Ccm na kwenda upinzani tunahoji credibility !!
 
Ijapo SIASA NI UONGO WENYE MANUFAA... kuna waliopitiliza hata wanafanya raia wachukiane kutokana na ulafi wa madaraka... Tuliokota maiti, watu walifilisiwa... Haikutosha tukapata vibepari uchwara vilivyotumia ofisi na mamlaka kudhulumu huku vikipewa baraka zote za chama kizee!! Kisa mkubwa hasemwi... Wasio wenyewe walipojaribu kusema wapewa hongo wakapewa kitumbua cha watoto!!
Je nikisema ni sawa yanafanyika kote lakini haya ya kubambika watu kesi ngumu zisizo na ushahidi ili wateseke KISA KATIBA MPYA, KISA UPINZANI UTAINUKA...
Pamoja tunajenga taifa!!!
 
Ni ujinga kusema eti chama changu kinapendwa wakati kinatumia vyombo vya dola kubaki madarakani

Kusema kweli CHADEMA inaogopwa ña CCM,, CHADEMA ni chama chenye nguvu na ushawishi sana

yawezekana kuna chama kinapendwa sana mpaka kinachukua mgombea upande wa kijani
 
Membe alikuwa msanii hata kampeni hakufanya huko ACT
 
Comments reserved
 
Acha kuandika upumbavu wewe!!!


CCM ni zaidi ya chama cha siasa.

CCM ni IMANI na UMBILE la nchi hii.

Kalaghabaho
 
Kwanini mnapenda kuonyesha ujuha wenu hadharani?


CCM ni zaidi ya chama cha siasa.

CCM ni IMANI na UMBILE la nchi hii.

Kalaghabaho
 
.....hoja yako ya Dr.Bashiru kusema kuwa kuna "majizi" bado hakukifanyi kuwa CHAMA CHOTE kiwe cha hovyo.....

Yaani kwa kuwa kuna PADRI kamnajisi mtoto seminarini basi KWAKO WEWE ukatoliki wote ni mbaya na haufai.....

Yaani kwa kuwa kuna USTADHI kamnajisi mtoto amfundishaye madrasa basi KWAKO WEWE Uislam wote ni mbaya na haufai........

Duuuh kweli kazi 😳😳🤣🤣
 

Ukweli mchungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…