Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Sasa inakuaje wanawachukua wapinzan kwa gharama na kuwapa nafasi za uongoz mpaka uwazir, ukuu wa mkoa na wilaya?Upinzani hawana watu wenye USHAWISHI wa kukubalika na nchi nzima.....
Ndio maana wanakiangalia CHUO KIKUU CHA SIASA TANZANIA....CCM.....
CCM ndiko wanakopikwa makada nguli ,wabobezi wanaoendana na SIASA ZA TAIFA HILI......
Siasa za CCM ni umbile safi linaloendana na TANGANYIKA NA ZANZIBAR iliyoleta TANZANIA.....nje ya hapo ni HISIA TU.....HISIA TU....nje ya hapo hakuna UHALISIA......
#SiempreCCM
#CCMNiImaniHaswa
Unawashauri wajifunze lipi? Na wakajifunze wapi maana hawaruhusiwi kufanya siasa.Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni. Pamoja na yote lakini Edward Lowassa alijitahidi kuipambania CHADEMA kwenye uchguzi mkuu wa 2015 ingawaje alishindwa kuipigania baada ya uchaguzi kupita. Lakini hali kwa Lowassa ikiwa hivyo, Membe ndio sikumuelewa kabisa. Kwanza ile anaingia tu ACT na kupewa fursa ya kuipeperusha bendera, muda mfupi anaingia kwenye malumbano na Maalim Seif. Hivi nyie wenzangu mnafahamu Membe alifanya kampeni kwenye mikoa ipi hapa Tanzania?
View attachment 1964845
Nakubaliana nawe kidogo kwenye uhuni wa Membe. Lakini kwenye swala la wasiasa kuhama toka chama A na kwenda cha B sikubaliani nawe. Hapa masilahi binafsi huchukuwa nafasi kuliko itikadi.Tuache ushabiki!! Hivi tunaweza kulinganisha utokaji wa Dr. Slaa na Lowassa kwenda CCM? Isitoshe, nimesema mwaka 2015 CHADEMA kulikuwa na mtu imara! Kukataa ukweli ni kutaka kuleta ushabiki usio na maana. Tusijisahaulishe uchaguzi mkuu wa 2010 Dr. Slaa ndie alipeperusha bendera ya CHADEMA, na alipata zaidi ya kura 2M. Baada ya uchaguzi wa mwaka 2010, Dr. Slaa hakukata tamaa. Aakaendelea kukipigania chama, na kuzunguka huku na huko hadi dakika ya mwisho tulipomuona HAFAI na akaletewa Lowassa! Kwa kinyongo, Dr. Slaa akamwaga manyanga na kujiendea zake ughaibuni. Lakini hata huyo Lowassa, nae alijitahidi kuipambania CHADEMA pamoja na kuwa na matatizo ya kiafya, lakini kwavile shida yake ilikuwa urais tu, ndo maana alipoukosa, akarejea CCM.
Uhuni zaidi umefanywa na Membe.
Walishawahi kumchukua mpinzani aje kugombea URAIS ?!!!!Sasa inakuaje wanawachukua wapinzan kwa gharama na kuwapa nafasi za uongoz mpaka uwazir, ukuu wa mkoa na wilaya?
Ijapo SIASA NI UONGO WENYE MANUFAA... kuna waliopitiliza hata wanafanya raia wachukiane kutokana na ulafi wa madaraka... Tuliokota maiti, watu walifilisiwa... Haikutosha tukapata vibepari uchwara vilivyotumia ofisi na mamlaka kudhulumu huku vikipewa baraka zote za chama kizee!! Kisa mkubwa hasemwi... Wasio wenyewe walipojaribu kusema wapewa hongo wakapewa kitumbua cha watoto!!Siasa kokote iliko....ina watu wake.
Usisahau SIASA ni ushawishi bwana "Ahmednejad"
Ndio maana hata huko kwenu "Iran" inaongozwa na KIKUNDI CHA WATU.
Sijapatapo kuona jambo linasimamiwa na kuendeshwa na MTU/WATU wasio na ushawishi kwa wengine....hili huanzia ngazi ya mtu binafsi,familia ,kikundi mpaka TAIFA.
Siwalaumu wanasiasa....hasa CCM ya Tanzania ....kwani kwa kuwa inanipa AMANI NA UTULIVU wa kutafuta RIZIKI yangu halali basi haina makosa makubwa....mengine ni ya kibinadamu tu
Kujitahidi kufuatilia SIASA ZA DUNIA sijapata kusikia nchi isiyowalaumu WANASIASA NA SIASA ZAO ZINAZOWATAWALA ...hiyo nchi haiko.....unaweza kunitajia?
Ni ujinga kusema eti chama changu kinapendwa wakati kinatumia vyombo vya dola kubaki madarakani
Kusema kweli CHADEMA inaogopwa ña CCM,, CHADEMA ni chama chenye nguvu na ushawishi sana
Issue sio urais, issue kwann wawabebe wapinzan then wakifika huko wapewe nyazifa?Walishawahi kumchukua mpinzani aje kugombea URAIS ?!!!!
Comments reservedTuache ushabiki!! Hivi tunaweza kulinganisha utokaji wa Dr. Slaa na Lowassa kwenda CCM? Isitoshe, nimesema mwaka 2015 CHADEMA kulikuwa na mtu imara! Kukataa ukweli ni kutaka kuleta ushabiki usio na maana. Tusijisahaulishe uchaguzi mkuu wa 2010 Dr. Slaa ndie alipeperusha bendera ya CHADEMA, na alipata zaidi ya kura 2M.
Baada ya uchaguzi wa mwaka 2010, Dr. Slaa hakukata tamaa. Aakaendelea kukipigania chama, na kuzunguka huku na huko hadi dakika ya mwisho tulipomuona HAFAI na akaletewa Lowassa! Kwa kinyongo, Dr. Slaa akamwaga manyanga na kujiendea zake ughaibuni. Lakini hata huyo Lowassa, nae alijitahidi kuipambania CHADEMA pamoja na kuwa na matatizo ya kiafya, lakini kwavile shida yake ilikuwa urais tu, ndo maana alipoukosa, akarejea CCM.
Uhuni zaidi umefanywa na Membe.
CCM ni zaidi ya chama cha siasa.
CCM ni IMANI na UMBILE la nchi hii.
Kalaghabaho
CCM ni zaidi ya chama cha siasa.
CCM ni IMANI na UMBILE la nchi hii.
Kalaghabaho
.....hoja yako ya Dr.Bashiru kusema kuwa kuna "majizi" bado hakukifanyi kuwa CHAMA CHOTE kiwe cha hovyo.....Kwanini mnapenda kuonyesha ujuha wenu hadharani?
Katibu mkuu wa CCM, Dr. Bashiru: CCM kuna majizi nikiyataja hapa mtashangaa. Sasa wezi wako CCM na ndio wenye Serikali
Bashiru asema kuna majizi CCM KATIBU Mkuu wa (CCM), Dk. Ally Bashiru, amesema amekuta wizi wa kutisha ndani ya chama hicho uliofanywa na watu wenye majina makubwa na kwamba iwapo ataamua kutaja majina yao, umma utashangaa na kushindwa kuamini. KATIBU MKUU WA (CCM), DK. ALLY BASHIRU. Sambamba...www.jamiiforums.com
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni. Pamoja na yote lakini Edward Lowassa alijitahidi kuipambania CHADEMA kwenye uchguzi mkuu wa 2015 ingawaje alishindwa kuipigania baada ya uchaguzi kupita. Lakini hali kwa Lowassa ikiwa hivyo, Membe ndio sikumuelewa kabisa.
Kwanza ile anaingia tu ACT na kupewa fursa ya kuipeperusha bendera, muda mfupi anaingia kwenye malumbano na Maalim Seif. Hivi nyie wenzangu mnafahamu Membe alifanya kampeni kwenye mikoa ipi hapa Tanzania?
View attachment 1964845