nasrimgambo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2017
- 1,902
- 2,488
Wanateuliwa ccm kwasababu, Rais ana chagua watu anaowaamini wamuuwakilishe kile anachotaka yeye kifanyike huko wilayani na mkoani, hivi Rais unataka ateue mtu wa chama kingine? Je akimsaliti ama akimuhujumu huko wilayani???Wanachaguliwa wanaccm ili wakisaidie chama chao kuratibu wizi wa kura wakati wa chaguzi mbali mbali