Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 762
- 1,597
Katika kumbukumbu za siku ya kiswahili, sijawahi kusikia wakitajwa wasanii wa Muziki wa Dansi katika kukuza lugha ya kiswahili hasa wakati ule ambapo jamii nyingi zilikuwa Bado hazijafunguka na wengi walisthiriwa na vilugha vyao.
Lakini wanamuziki wa enzi hizo kwa majitoleo na uzalendo mkubwa walijitahidi kutumia kiswahili katika utunzi wa nyimbo zao, na walikwenda kujitoa na kuburudisha jamii Huku wakieneza lugha yetu ya Kiswahili kwa nini tunasahau hili kitu muhimu
Lakini wanamuziki wa enzi hizo kwa majitoleo na uzalendo mkubwa walijitahidi kutumia kiswahili katika utunzi wa nyimbo zao, na walikwenda kujitoa na kuburudisha jamii Huku wakieneza lugha yetu ya Kiswahili kwa nini tunasahau hili kitu muhimu