Iyumbu, Dodoma: Rais Magufuli aagiza ardhi iliyotengwa na Serikali ili kuzika Viongozi kurudishwa kwa wananchi. Asema yeye atazikwa Chato

Bod upo? Unaona jamaa anavypigwa makofi bila chenga. Duh! Tuwe tunamwomba MUNGU anatupa maneno ya kuongea jamani. Duh!

Anasema " Nimekuchapa kwa uwazi" Duh!
Hahahaaaaa Mchechu anapigwa makavu hapa anacheka tuu, mh hacheki na nyani hapa
Mimi nipo hapa na ni lazima niwepo sitaondoka napenda sana speech za Rais wangu
 
Mkurugenzi wa nyumba zipi hebu ongezea nyama kwenye taarifa yako

Ova
 
Dah...kamuomba na spika ampe "zawadi" na hataikataa[emoji87] [emoji13]
 
Habari wanabodi!

Nilikuwa naangalia hapa Mradi wa Ufunguzi wa Nyumba wa Iyumbu ambao ulikuwa unafanywa na Mh. Raisi.

Nimeona yale maji ambayo yanatumika pale yapo kwenye chupa ila haionyeshi kama ni Product ya Kilimanjaro, Uhai, Dasani, Udizungwa n.k.

Wajuvi wa mambo tafadhali naomba mnijuze kwa nini yale maji hayana lebo ya kuonyesha mzalishaji?


Nawasilisha
 
Huenda yana Expansion lebo ambayo kwa hapo haikuonekana maana ilikuwa inaruhusu maji yapumue
 
Lini ufunguaji rasmi wa kukatikakatika kwa umeme?
 
ile sheria tuliipitisha nikiwa bado sijawa Rais.
....hahahahahahahahaaaaaaaaa Jesus!

Kwa hiyo sheria za kuanzia October 2015 kwenda nyuma zote ni batili!

Hakuzi saini yeye

Banana Republic of John Pombe Magufuli
 
Kwa kweli umeongea jambo la msingi sana.
 
Kwa sababu Rais hajakwenda kufanya tangazo la biashara.
 
Rais wangu bana. Sasa kama eneo lilitengwa kwa sheria No. 1 ya 2006, si inabidi hiyo sheria itenguliwe na bunge hilo hilo? Sasa atatenguaje sheria kwa maneno?

Napita tuu waungwana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…