Iyumbu, Dodoma: Rais Magufuli aagiza ardhi iliyotengwa na Serikali ili kuzika Viongozi kurudishwa kwa wananchi. Asema yeye atazikwa Chato

.... alitoa kauli hiyo takriban miezi mitatu tangu Tundu Lissu akoswekoswe kuuwawa; takriban miaka mitatu habla hajafa! Alikuwa ameandamwa na uvuli wa mauti wa kutisha sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…