J.K. Awaasa Muslim University Morogoro

J.K. Awaasa Muslim University Morogoro

Status
Not open for further replies.
Kuna Elimu inayopita Elim Akhera ?
Ndo maana mnanunua picha dukani kisha mnasema mungu !

Sishangai mnavyolalamika kuwa wale wadini tofauti na yenu kuwa wanapendelewa, sababu mmejikita kwenye elimu ambayo haiwapi nguvu ya kushindana kwenye soko la ajira.
Wenzenu wametambua hilo na ndio maana pamoja na kufundisha elimu ya dini yao pia wameweka msisitizo kwenye elimu dunia!

 
Sasa mbona wanawaoa dada zenu,na dada zao mbona hua mnazaa nao?au kwakua hawana elimu hua mnaoana wakristo kwa wakristo?
 
Rais Kikwete akiwa Muslim Universty ya morogoro, amewataka wahadhiri wa chuoni hapo kuhakikisha wanazalisha wahitimu wenye uwezo wa kushindana katika soko la ajira.Kauli hii kwangu inanipelekea kuamini kuwa, J.K amewaambia hivyo kwa kuamini kuwa, wamekuwa hawafanyi academics bali wanafanya kwa kiasi kikubwa dini, hivyo mwanafunzi atokaye pale hana lolote la kumuuza kwenye soko la utandawazi.take care wakuu.Hata hivyo, nimefurahishwa na chuo hicho kuwa na mipango ya kujitanua huko kilosa na kilwa. wakifanikiwa wataheshimika sana.


Acha unafiki na chuki binafsi dhidi ya uislamu nguchiro wewe!!Hivi unahotuba zote za kikwete alizotoa anapokwenda kutembelea vyuo vikuu mbalimbali hapa nchini?

Huwa hatoi kauli hiyo hii ndiyo imekuwa mara ya kwanza kwa MUM?

Hivi ikipita siku bila kukashifu uislam masaburi yanakuwasha sana eenh? Hebu grow up fikira zako zisiendeshwe na chuki zilizokujaa kwenye kichwa chako, Nyambafffff!!!!!
 
Kwani wewe unapungukiwa nini kwa mtu kuwa imamu forever !?
Hata JK hapungukiwi kitu kama angekaa kimya tu asiwashauri waisilamu kuwa na programme zenye ushindani, lakini aliona ni tatizo! The same to me, sipungukiwi kitu, but there is a problem!
 
kuna tatizo gani? Kwani kuwa kasisi forever kuna tatizo! Huna point...ushauri wako hatuutaki

Huko uraiani kuna maimamu kibao ambao hawajahitaji kusoma hiyo Bachelor's degree, sasa you could take advantage of this resource kuwafundisha hao wasomi something else kitakachokuwa efficient
 
Wahame pale kwenye mali ya umma na sio kujitanua kutoka pale
 
Sishangai mnavyolalamika kuwa wale wadini tofauti na yenu kuwa wanapendelewa, sababu mmejikita kwenye elimu ambayo haiwapi nguvu ya kushindana kwenye soko la ajira.
Wenzenu wametambua hilo na ndio maana pamoja na kufundisha elimu ya dini yao pia wameweka msisitizo kwenye elimu dunia!


Ungefundishwa elimu ya dini ungenunua picha ya mungu dukani !?
Mmeghafilika nyie !
 
Huko uraiani kuna maimamu kibao ambao hawajahitaji kusoma hiyo Bachelor's degree, sasa you could take advantage of this resource kuwafundisha hao wasomi something else kitakachokuwa efficient

Ni kweli uko concern sana ? Au unafiki !?
 
Sikutegemea rais aende kupiga story. Aseme amewasaidia nini? Amewaahidi kuwapa maprofesa wangapi?

Computa ngapi, vitabu vingapi? Na ameyaandaaa makampuni na mashirika mangapi kwaajili ya kuwapokea wanafunzi toka chuo hiki kwenda kujifunza kwa vitendo.

Mimi ni mkatoliki lakini naona kuwa hiki chuo kinahitaji support kubwa na sio kubezwa kwa lugha aliyotumia rais. Give them support they will deriver.
 
Sishangai mnavyolalamika kuwa wale wadini tofauti na yenu kuwa wanapendelewa, sababu mmejikita kwenye elimu ambayo haiwapi nguvu ya kushindana kwenye soko la ajira.
Wenzenu wametambua hilo na ndio maana pamoja na kufundisha elimu ya dini yao pia wameweka msisitizo kwenye elimu dunia!


Wale wanaosoma vile vitu mnaita Theologia na Liturugia na ile Elimu ya Dr Slaa huwa wanaishia kufanya kazi gani ?
 
Hata JK hapungukiwi kitu kama angekaa kimya tu asiwashauri waisilamu kuwa na programme zenye ushindani, lakini aliona ni tatizo! The same to me, sipungukiwi kitu, but there is a problem!

Problem ni wewe ambaye hujitambu !
 
Simshauri mtu akasome pale, awe muisilamu au mkristu. Chagua chuo bora, halafu tafuta kozi fupi fupi za kidini kama unataka. Hivi kwa mazingira yetu, iweje mtu upoteze muda wa miaka mitatu kusoma B.A with Islamic Studies? Au unataka kuwa imamu forever?

Ukisoma Baibo study unaweza kupata kazi TRA ili utoe misamaha ya kodi kwa Kanisa ?
 
Zero University of Morogoro
heri hicho cha mum kuliko vile vyenu kwa muda wa miaka 50 vimetoa wahitimu ambao wana mawazo mgando wasiojua kutafakari ambao wanategemea kuamuliwa maswala yao kutoka nje.

MUM kwa muda mfupi iliodumu imechangamsha nchi watu wanajua haki zao
 
Ungefundishwa elimu ya dini ungenunua picha ya mungu dukani !?
Mmeghafilika nyie !

Acha kuamini vitu ambavyo huna uhakika navyo kijana......HAKUNA PICHA YA MUNGU IUZWAYO DUKANI.
Shirikisha ubongo wako kwanza kabla ya kuropoka.
 
Wale wanaosoma vile vitu mnaita Theologia na Liturugia na ile Elimu ya Dr Slaa huwa wanaishia kufanya kazi gani ?

Acha uzezeta wewe, kwenye huu uzi Dr Slaa, kaingiaje tena?
Usiatake niamini kuwa Watanzania wa imani yako ndo wanaoishabikia serikali ya ccm licha ya udhaifu na madudu yote wanayoyafanya.
HUU SIO UGOMVI NDUGU, AMINI UNACHOKIAMINI.........!
 
Rais Kikwete akiwa Muslim Universty ya morogoro, amewataka wahadhiri wa chuoni hapo kuhakikisha wanazalisha wahitimu wenye uwezo wa kushindana katika soko la ajira.Kauli hii kwangu inanipelekea kuamini kuwa, J.K amewaambia hivyo kwa kuamini kuwa, wamekuwa hawafanyi academics bali wanafanya kwa kiasi kikubwa dini, hivyo mwanafunzi atokaye pale hana lolote la kumuuza kwenye soko la utandawazi.take care wakuu.Hata hivyo, nimefurahishwa na chuo hicho kuwa na mipango ya kujitanua huko kilosa na kilwa. wakifanikiwa wataheshimika sana.

wacha ufisadi wa kupindisha maneno...kikwete ametoa changamoto wafanye bidii kutoa wahitimu wenye soko....na huki chuo nimewahi kuwafanyia interview baadhi ya wahitimu..naamini wapo fiti kuliko wengi hata wale wanaotoka UDSM.


Vyuo vingi vinatoa wahitimu wasio na sifa kuajiriwa...ndio maana wadosi na wakenya wamechukua kazi za maana zote katika fani nyingi au wachache walio pata nafasi ya kusoma ngambo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom