Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie nina sura pesono na hela sina 🤣🤣🤣🤣🤣Simpendi hata nusu kiukweli.....😭😭😭ee Mungu nisaidie Mimi......ila mzabzab fanya nikuone sura hata mara Moja nisijekuwa naikimbia dhahabu
Ooh lalaaa mimi nimekuwa badboy tena???😁😁😁😁No moja mnachuana wewe na Mzabzab😂
Kwani weupe wanashinda Gani...Yaani kama hataki vile, ila ni balaa. Tatizo tu ni mweupe🙆🙆🙆
Hapa ndipo dark tall tuna win😂😂😂Yaani kama hataki vile, ila ni balaa. Tatizo tu ni mweupe🙆🙆🙆
Sura ngumu iendane na pesa bhana...ndo ni nini ivo naweMie nina sura pesono na hela sina 🤣🤣🤣🤣🤣
Huh!! Basi nikajua mwanzisha mada ndio wewe umebadili avatar😳😳Anajua alafu hana kiki za kingese
Sasa hela ningekuwa nayo unadhani mngenijua hapa jf jamani...sii wikend ningekuwa nakula pisi kali tuuSura ngumu iendane na pesa bhana...ndo ni nini ivo nawe
Dark, tall na kamwili mwili kawepo🤣🤣Hapa ndipo dark tall tuna win😂😂😂
Siyo sababu mbona,jf ni mapumzikoni kama kwinginekoSasa hela ningekuwa nayo unadhani mngenijua hapa jf jamani...sii wikend ningekuwa nakula pisi kali tuu
Aaah!! Sasa mwanaume unakuwaje mweupe😳😳😳Kwani weupe wanashinda Gani...
Mapumzikoni ni kwenye matiti ya ya mwanamke huku delibolo limezama ndani ya mbususuSiyo sababu mbona,jf ni mapumzikoni kama kwingineko
😳Nimekushindwa aisee🙌🙌Mapumzikoni ni kwenye matiti ya ya mwanamke huku delibolo limezama ndani ya mbususu
Wasanii kwa kiki sio wa kuwapa guarantee, akilewa umaarufu kiki zitaanza.Anajua alafu hana kiki za kingese
Kwa hiyo hamuendi tena na chaguo la Kelsea la tall dark and handsomeHuyu kijana Ni fire Sana, mashairi yake yana mvuto Sana, ye mwenyewe ana mvuto Sana, kifupi mziki unamnogea.... Hongera kwa kazi nzuri kijana.
Ova
Weupe una shida gani mdadaYaani kama hataki vile, ila ni balaa. Tatizo tu ni mweupe[emoji134][emoji134][emoji134]
Ukikutana nae road ghafla unaweza loa ukaisha kabisa, afu yeye hana time na wewe kabisaAnajua alafu hana kiki za kingese