See For Me
JF-Expert Member
- Sep 7, 2022
- 479
- 1,495
Hahahaha We JM[emoji28]Turia nasema Kaa chini[emoji23]Asante
Nahakikisha nitazid kutoa nyimbo kali na nzuri zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha We JM[emoji28]Turia nasema Kaa chini[emoji23]Asante
Nahakikisha nitazid kutoa nyimbo kali na nzuri zaidi
😅😅😅 ndani ya nyumba mengine kama suprise tuUshamshirikisha To yeye ?au umejiamulia mwenyewe
😅😅 muache tu ... anaruka maji anata kukanyaga nyaaa.. nampa raha zotee.. sema ndio ivyo hamujui munataka nini tu🤣🤣🤣🤣🤣Nakushauri ubaki na National Anthem huyo mzabzab ana harakati Kama Dr Pimbi yaani
Wazungu, waarabu ni weusi...Aaah!! Sasa mwanaume unakuwaje mweupe😳😳😳
Nivumilie, kuchepuka nisha acha ☺️☺️🤣🤣🤗 Afu nilimchagua yeye pekee katika wengi....😢ngoja nirudi Kwa mzabzab tu....
😅😅😅 asie sikia la mkuu huvunjika guu🤣🤣🤣🤣Mimi nishamshauri akikaidi Shauri yake kitamkuta kitu
Nakupenda ivoivo....wewe pamoja na michepuko yako😋Nivumilie, kuchepuka nisha acha ☺️☺️
View attachment 2588721
View attachment 2588723
View attachment 2588724
Nammudu vizuri kabisaa 🤣🤣Utaleta balaa
Kwa nyie mnaowafia zaidiWanadanganya,hamna wakaka wanawakula wadada kimasihara Kama hao mahandsome weupe,Tena Ni mkopo fasta tu
Ila ai mmekubaliana umpe mapacha au 😏😏🤣 Kwani mzabzab namtaka sasa🙄.....najikaza tu Ili siku ziende😥
Daaah, 💕 nyashinski...... Asante National AnthemNivumilie, kuchepuka nisha acha ☺️☺️
View attachment 2588721
View attachment 2588723
View attachment 2588724
Achana nae huyo😏Ila ai mmekubaliana umpe mapacha au 😏😏
Ume mugeuka tayari 🥸🥸🥸Achana nae huyo😏
Sijawahi mtaka......he knows that tooUme mugeuka tayari 🥸🥸🥸
Kweli hamujui mna taka nini..
Naaminije 🤨🤨🤨Sijawahi mtaka......he knows that too