charty
JF-Expert Member
- Oct 28, 2013
- 7,460
- 5,992
Kwanini una mawazo hasi?
Huamini kuwa kuna ndoa zenye Furaha? Tofauti za kimaisha zipo tu hata kwa mapacha.
mbona unajiuliza alafu unajijibu..!!sikulazimi uyaamini maneno yangu siyo sheriaaa....punguza kutokwa povu basiii