J2: Mungu Awasamehe Wanadada Wote Wa Aina Hii:

hahaha unazunguka sana mkuu, hao uliowataja ndo walikuwa targeted. waje tu wajibu tuhuma za kukutenga wewe cheusi mangala
 
Mimi nalingia MSALIBOKO WANGU na TINTED ROOM KWENYE MOYO WANGU(true love) mdada asiyependa hivyo pita mbali na mimi.
unalingia kitu kisichoonekana(msalibobo_),?? bora kingekuwa kinaonekana wangetishika kidogo lakini ivo wanaweza kuhisi huna ko hawana muda na wewe kabsa
 
Uzuri mie siyo domo zege natupia verse akiingia king anapewa ukweli akipenda anajituliza kwenye mshelimsheli asipo mind akule kona.
hahahaha ko umeamua kushindana nao, wao wanalingia misambwanda huku wewe unalingia msaliboko wako huhuhu mtaishia kulingiana ohooo
 
Kwa hiyo haujawahi kumwomba BF wako pesa?

Ila huwa unawish mwanaume anayekupenda akuhudumie!
sio nawish kuhudumiwa n wajibu wa mwanaume sio mpk uombwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…