Jabir Saleh Mtangazaji bora kabisa wa radio wa kizazi cha sasa

Jabir Saleh Mtangazaji bora kabisa wa radio wa kizazi cha sasa

Nyaulawa Jr na Hermy hawana vision ya radio. Ushindani ni mkubwa sana na vyombo vya habari viko katika mpito wa mabadiliko. Hivyo mwenye nguvu na pochi kubwa ndio ataingiza pesa nyingi zaidi. Naikumbuka Times ya "Experience Africa".
Hermy B yupo E fm man ndio boss mpya pale majizo kamchukua. Kaondoka na Jabir na Bi Hindu.
 
Mi nadhani siyo mbaya yuko vizuri maana ukitumia nguvu kuukataa ukweli basi unataka kusema uongo
 
Nyaulawa Jr na Hermy hawana vision ya radio. Ushindani ni mkubwa sana na vyombo vya habari viko katika mpito wa mabadiliko. Hivyo mwenye nguvu na pochi kubwa ndio ataingiza pesa nyingi zaidi. Naikumbuka Times ya "Experience Africa".
Hermy kwa sasa yupo E-FM
 
Kwa anayemjua Proverb akimwangalia Dullah mjukuu wa Mbua hawezi kuwatofautisha,wanafanana sana.Ni sawa na Ray (Vincent Kagosi) anavyofanana na Neyo.
Mtu ana swaga za salama Jabir wewe unamfananishaje na Proverb?
 
Back
Top Bottom