Jack Patrick kutupwa JELA miaka 10..!!

Mumewe yuko wapi anioe mke mdogo mie??
 
Macau ipo Hongkong? kama kitu hujui ni bora kuuliza.
 
Kumbe anabahati. Miaka Kami tu? Nilifikiri wanakata shingo.

Angeshikwa china bara angenyongwa ila ameshikwa visiwani kwenye jimbo ambalo lilijitenga na sheria za china
 
Hivi, haruhusiwi kumtaja aliyemtuma? Kama atafungwa, huyo boss wa madawa atarecruit vijana wengine au sio?Vijana wataendelea kuangamia mpaka lini?

Tatizo ni ushahidi pia uyo hamjui boss wake anawajua ma agent wa boss tu
 
Akome!laiti hawa punda wangejua madhara wanayowasababishia vijana wetu wabwia unga,nadhani wangeacha kusafirisha haya makitu!
 
akikutwana na hatia apigwe hata miaka 50 fresh tu,we have to learn kwamba no shortcut in life.
 
Nimepata huzuni ghafla kwa ajili yake..so sorry for her..she s too beautiful for that...
 
hivi mabosslady huwa wanalipa kodi kutokana na shughuli zao?
 
Hapana Dinazarde, Tiff alipata dhamana baada ya kukaa ndani takribani mwala mzima,yuko mtaani toka May 2013.

Afadhali kama alitoka maana alimpa kila kitu huyo bossushuz lakin alivyokamatwaa akawekwa jela huyu Jack ndio ikawa furaha kwake!! najua atafight atapata pesa tu,
 
hehehehe haya naomba ajitokeze hapa yule anaetetea mashangingi ya mjini wajasiriamali na wanaenda kuchukua mizigo China :biggrin1:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…