Jack wilshere na Tom cleverly nani mkaliii

Jack wilshere na Tom cleverly nani mkaliii

Kamwe huwezi kumlinganisha they so called cleverly na jack wilshere,dogo yuko fit
am not arsnal fan but jack ni soo
 
Mlima 'jw' imalinganishwa na kichuguu'tom'

we soka lenyewe inaonekana huwa unasimuliwa.mlima kwa lipi hasa?hiyo kuvizia timu ina cheza na s'ton sijui stoky city ndo aonyeshe kiwango?kama unafuatilia mpira kweli niambie mechi ya big four aliyofunika JW msimu huu!!!!
 
Wilshere ni zaidi.
Mimi si mshabiki wa man u wala arsenal,bali namkubali huyu kijana anaujua mpira zaidi ya Cleverly

jamani eee mliangalia mechi alizocheza na timu kubwa lakini??au mnasikia akisifiwa kwenye hizo mechi nyingine?
 
England 2-1 Brazil

6 February 2013 Updated 21:25

Frank Lampard came off the bench to score the winner as England beat Brazil for the first time in 23 years.
In a lively opening, Ronaldinho missed a penalty and the rebound after a superb double save from Joe Hart.
The industrious Jack Wilshere played in Theo Walcott, with his shot rebounding to Wayne Rooney for a measured finish.
Brazil levelled when Fred took advantage of Gary Cahill's error, but Lampard curled in from the edge of the box after an hour to earn victory.
It was an enterprising and encouraging performance by Roy Hodgson's England, with Wilshere at the heart of much of their endeavour.
And although Fred also hit the the bar in a wobbly spell after the break, the hosts carved out more opportunities and were in control for long spells of the game.

More to follow.

Source
England 2-1 Brazil - BBC Sport
 
we soka lenyewe inaonekana huwa unasimuliwa.mlima kwa lipi hasa?hiyo kuvizia timu ina cheza na s'ton sijui stoky city ndo aonyeshe kiwango?kama unafuatilia mpira kweli niambie mechi ya big four aliyofunika JW msimu huu!!!!

jana umeshuhudia wote walikua tim ya taifa jana eee, au bado utendeleza unazi wako..
Jack ni habari nyingine kumlinganisha jack na tom ni sawa kulinganisha kifo na usingizi.
 
jana umeshuhudia wote walikua tim ya taifa jana eee, au bado utendeleza unazi wako..
Jack ni habari nyingine kumlinganisha jack na tom ni sawa kulinganisha kifo na usingizi.

hahahaaah!
 
Semeni yote lakini ushahidi wa ubora wa JW ni mechi ya jana, kama uliangalia mpira wote utakuwa unajua kuwa JW was man of the match- hands down and in him you are looking at the future Arsenal and England captain. Although he's two years younger than Cleverley, Jack has been playing at a higher level for longer than Tom.

Soma hapa (Na imeandikwa na muingereza anayejua mpira na anayemfahamu Cleverly pia....)

James Lawton: Jack Wilshere seizes the moment with an old master's timing - News & Comment - Football - The Independent
 
Nadhani kwa matokeo ya jana uliweza kutambua ni nani mkali
 
NADHANI JANA MLIPATA JIBU! ... THREAD IFUNGWE SASA,,,,:becky::becky: JACK NI NOMA
 
ikiwa ww ndo kocha wa england na una nafasi 1 tu ya kiungo imebaki na una machaguo mawili tu aidha kumchezesha jack 10 au cleverly embu niambie nani utamuweka na kwa sababu gani

'Kama tunataka kuchukua kombe la dunia kwa urahisi tukiwa nyumbani Brazil mwakani inabidi tuiombe Fifaimruhusu Jack Wilshere kuchezea Brazil'....Kaul -i ya Neymar akizungumza na mtandao wa Global wa Brazil.....
 
jana umeshuhudia wote walikua tim ya taifa jana eee, au bado utendeleza unazi wako..
Jack ni habari nyingine kumlinganisha jack na tom ni sawa kulinganisha kifo na usingizi.

friendly match!!!!angalia mechi za mashindano kubwa kama tano hivi ulinganishe kiwango chake then ufanye tathmini mkuu.hujawahi ona mchezaji anatamba kombe la dunia anasajiliwa kwenye timu kubwa anaenda kuchemsha???do u think wachezaji wa taifa stars wako juu kiviwango kuliko cameroon?ndo maana nimechalenji kama kuna mtu anaweza niambia mechi japo moja ya big four epl ambayo dogo alicheza kwa kiwango kama cha jana.
 
friendly match!!!!angalia mechi za mashindano kubwa kama tano hivi ulinganishe kiwango chake then ufanye tathmini mkuu.hujawahi ona mchezaji anatamba kombe la dunia anasajiliwa kwenye timu kubwa anaenda kuchemsha???do u think wachezaji wa taifa stars wako juu kiviwango kuliko cameroon?ndo maana nimechalenji kama kuna mtu anaweza niambia mechi japo moja ya big four epl ambayo dogo alicheza kwa kiwango kama cha jana.

kaka unapenda sana ligi za kubishana wewe, hapo juu kunamtu kamnukuu neymar anasema kama brazil wanataka wachukue kombe la dunia kirahisi basi wamchukue jack,.

Huyo tom anaonekanika zile mechi za big4 england tena zile za howard web, zile za mbeleko,.

Uefa yenyewe magroup mwaka huu zote hakuna alizoperfom,. Ebu niambie mechi ipi ya uefa tom alifanya kitu cha maana??

Msije mkamzeesha bure huyo tom aige kunya kwa tembo kwa kulazimisha kipaji kama cha jack ambacho hawez kua nzcho
 
game ya man cty, chelsea alishine na punde tu utamwona akishine gunners wakikutana na man u. Halaf kama ww n mfuatliaj mzur w lig ya uingeza jack ndie midfilder pekee anayeongoza kw kuchezewa rafu nying kama unabsha google, pia n midfilder aliyepoteza mipra michache zaid kwnye michuano yote uingereza mcmu huu; hii pia ukiona unadanganyw google. Haya tuambie tom ana takwmu gan mcmu huu ukilingansha na hiz
 
gun__1360230156_wilshere_england_brazil.jpg


Midfielder named man of the match after driving England to victory over Brazil at Wembley on Wednesday night

Tom Cleverley-7.5/10
Cleverley only played the opening 45 minutes before being replaced by the game-winning Frank Lampard, but what he did in the first half was great-commanding his presence in midfield and shutting down a dominant Brazilian midfield.


Steven Gerrard-7.5/10

Another fine international performance from Gerrard, who pushed forward well throughout from his role as a holding midfielder. He combined spectacularly with both Jack Wilshere and Frank Lampard when asked to and was once again a threat on set pieces as well.



Jack Wilshere-9/10

A man-of-the-match performance from Wilshere, who was brilliant and creative in attack, as well as very key in the Three Lions' defense here. He did concede a penalty early, but made up for it with some spectacular dribbling and dynamic attacking.

He was easily England's best player throughout this one.

Source: England vs. Brazil: Rating Both Sets of Players from International Friendly | Bleacher Report

Chezea 'Will Share' weee!
 
Hata huyo Oscar jana alikuwepo wakati Jack Boy akitajwa kuwa MoTM

Nimetoa hoja based on swali na muanzisha thread..na quote

ikiwa ww ndo kocha wa england na una nafasi 1 tu ya kiungo imebaki na una machaguo mawili tu aidha kumchezesha jack 10 au cleverly embu niambie nani utamuweka na kwa sababu gani
 
[h=1]Wilshere Steals the Show from Neymar as England Beat Brazil[/h]
[h=3]By Will Tidey

(World Football Lead Writer) on February 6, 2013[/h]



160816023_crop_exact.jpg



Much was expected from Neymar at Wembley, just as much will be expected every time the primped, precocious prince of Brazilian football takes the field from here to his home World Cup and beyond.


This time, Neymar fell short. His influence was rarely felt in Brazil's attacking effort and his slight, boyish frame was found wanting more than once when he needed a strong shoulder to lean on. Neymar will have his day, but this was not it.


This day belonged to Arsenal's Jack Wilshere, whose first start for England since June 2011 delivered on all the expectancy that comes with being one of the most gifted midfielders of his generation. Wilshere was not just the best player in a white shirt, he was the best on the pitch.


England manager Roy Hodgson can take credit for his well-considered formation, which employed Steven Gerrard at the fulcrum of midfield and placed Wilshere alongside Tom Cleverley in front of him. Gerrard's assured presence liberated both of them, and instilled a confidence in Wilshere that brought out his very best.

Wilshere's first contribution was a driving run through the middle that evoked memories of Paul Gascoigne in his prime-Wilshere swaying past tackles and turning on the afterburners to escape a second bite. It was good to be back, and Wilshere wasn't going to waste a second of it after all those months ruled out through injury.

The goal was Wilshere's in the making. Soon after, he was skipping past yellow shirts again, in another burst through the Brazil midfield, and by halftime had already stolen the show from the star-studded cast around him.

They came to see Neymar. They left talking about Wilshere.


Najua sababu ya jazba hamtasoma, lkn kiukweli jana bwana mdogo aliiba show ya watu. Huyo anayetajwa hapo kwenye Red jamani ni GAZA

Source: Wilshere Steals the Show from Neymar as England Beat Brazil | Bleacher Report
 
Back
Top Bottom