Jackline Cliff amwandikia barua Millard Ayo toka Gerezani

Jackline Cliff amwandikia barua Millard Ayo toka Gerezani

Ingekuwa anajutia kujihusisha na biashara ya ngada, angetoa ushuhuda kuhusu hii biashara na siyo hizi bla-bla zilizojaa story za mapenzi.
Namuombea aongezewe kifungo kikiambatana na viboko ili atume barua yenye akili.
 
Mtaka nyingi nasaba umfika mwingi msiba,pole sana Dada kwa masaibu yaliyokufika.
 
Hajatoa hata rai kwa vijana wengine kuacha kujihusisha na hii biashara, hajaandika popote kuonesha kwamba anajutia na hatakaa airudie hii biashara, hajaomba radhi mahala popote kwa watu walioathirika kwa sababu ya yeye kufanya hii biashara etc etc.

Bado sana, hajanyooka.
 
Pole zake,alitamba mno nguo sijui za madizainaa sijui niniii hakuna staa anaemfikia eee
 
Wabogoyo atapiga JackY

AHAHHAHA...SASA MS. Lincoln atapigia wapi? gerezani hukohuko?...ushawahi kwenda kuwatembelea wafungwa jela?...mlume hata mashine haisimami kwa hayo mazingira yalivyo....na hata akitoka jela hatokuwa na utamu huo unaoujuwa alikuwaga nao kitambo...msala wenyewe nasikia ana nyundo kama 25 hivi ukiongezea na umri wake wa 25 alioingia nao segedansi ndio anakuwa na nusu karne...sipati picha huyo jack wa 50 yrs atakuwaje na katokea jela.

kama atakula acha ale tuu maana jux ndio kajiweka kwa kibibi chake v-money.
 
Hawa wachina wamelegea sana siku hizi, yaani huyo chakubimbi hajanyongwa tu hadi leo? Na inaonekana kama anajifariji atarudi bongo kuendelea kutuua na sembe. Hawa inatakiwa wakirudi TISS wawe wanawadunga sindano za sumu wakafie mbele
 
Huyo alieandika ni jack cliff yule mashauzi ninayemjua au??
 
AHAHHAHA...SASA MS. Lincoln atapigia wapi? gerezani hukohuko?...ushawahi kwenda kuwatembelea wafungwa jela?...mlume hata mashine haisimami kwa hayo mazingira yalivyo....na hata akitoka jela hatokuwa na utamu huo unaoujuwa alikuwaga nao kitambo...msala wenyewe nasikia ana nyundo kama 25 hivi ukiongezea na umri wake wa 25 alioingia nao segedansi ndio anakuwa na nusu karne...sipati picha huyo jack wa 50 yrs atakuwaje na katokea jela.

kama atakula acha ale tuu maana jux ndio kajiweka kwa kibibi chake v-money.
Jack kafungwa miaka 50?
Akitoka lazima ampe zawadi ya ushindi
 
Huyu nae alikua msanii wa sanaa gani,na mbona hao wachina hawajamnyonga mpaka leo?
 
jack tayari umeshachafuka unatakiwa sasa uwache legacy na utakumbukwa vizazi na vizazi na legacy yenyewe ni kutaja mabosi wako hivyo watu wengi watakukumbuka kwa hilo na kusahau kuwa ww ni punda ila utakuwa shujaa na kuonyesha kweli umejitambua, wapo watu waliofahamika kwa mabaya lakini baadaye wakaja kuwa mashujaa na kuwacha legacy katika jamii.
 
Hmm...hiyo barua imeandikwa na huyo Jackie kweli?

Nasita kidogo kuamini kwani sidhani kama ana uwezo kuandika namna hiyo.
 
Back
Top Bottom