Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]Ingekuwa anajutia kujihusisha na biashara ya ngada, angetoa ushuhuda kuhusu hii biashara na siyo hizi bla-bla zilizojaa story za mapenzi.
Namuombea aongezewe kifungo kikiambatana na viboko ili atume barua yenye akili.
Kwani jela si uwa wanahesabu day and night as ni siku mbili??? I min ikifika asubuhi ni sku ya kwanza and usiku ni siku ya pili?? So mins miaka 6 ni mitatu kwa day and night au inakuaje mi iwa naelewa ivo na kama n ivo soon atatoka nahis kma anaaanda mazingira ya akirudi apate kiki kama vile shujaa katoka vitani kumbe amna kituMiaka 6 jela tangu agosti 2014..inamaana may be mpaka agosti 2020,kama atatoka basi namshauri awahi kurudi kuja kupiga kura napo sidhani maana atakua hana kitambulisho cha kupigia kura..
Punda mzoefu huyo,mzigo wote huu ulikua tumboni
![]()
HIVI HIZI KETE ZINAINGIZWA VIPI NA ZINATOLEWA VIPI HUKO TUMBONI,Hayo MATUNDU SI YANAKOMA!!!!!!!!!,!,!,
Kwani jela si uwa wanahesabu day and night as ni siku mbili??? I min ikifika asubuhi ni sku ya kwanza and usiku ni siku ya pili?? So mins miaka 6 ni mitatu kwa day and night au inakuaje mi iwa naelewa ivo na kama n ivo soon atatoka nahis kma anaaanda mazingira ya akirudi apate kiki kama vile shujaa katoka vitani kumbe amna kitu
Mnh!! We mwananchi kumbe upo humu humu jamvini... aisee!!!Barua isomwe kwenye media kwa ajili ya wa Tz, lakini sijaona any dedication kwa Watanzania. Kulikuwa na vitu vya msingi vya kuandika otherwise, sijaona jipya.
Kwani jela si uwa wanahesabu day and night as ni siku mbili??? I min ikifika asubuhi ni sku ya kwanza and usiku ni siku ya pili?? So mins miaka 6 ni mitatu kwa day and night au inakuaje mi iwa naelewa ivo na kama n ivo soon atatoka nahis kma anaaanda mazingira ya akirudi apate kiki kama vile shujaa katoka vitani kumbe amna kitu
Ndio kashatoka sasa. Akawe raia mwema
NdioKwahiyo mpaka akitoka jela si keshakuwa BIBI?
Aaah wapKwahiyo mpaka akitoka jela si keshakuwa BIBI?
Muda wa kufukua makaburiAaah wap