Jackline Cliff amwandikia barua Millard Ayo toka Gerezani

Nikimkumbuka mshkaji wangu stan alivyotumbukia kwenye madawa ya kulevya ikapelekea kuchanganyikiwa kabisa sona raha nikiona haya mapunda
 
daaa chaurembo wetu jamani Agness naye makini jamani tena yeye ana mtoto na vijana wengine mwenye maujuzi keshatoa ya moyoni
 
ila kwa kuvaa sijawahi kumuona mdada wa mjini aliyekuwa anavaa na nguo zikamkubali mwilini kama Jacky jamani nakumbuka nirvana walikuwa wanapenda kumuhoji basi nilivutiwa naye hatari
 
Hawa wachina wamelegea sana siku hizi, yaani huyo chakubimbi hajanyongwa tu hadi leo? Na inaonekana kama anajifariji atarudi bongo kuendelea kutuua na sembe. Hawa inatakiwa wakirudi TISS wawe wanawadunga sindano za sumu wakafie mbele
Mdau MACAO HAWANYONG
 
Jack umeumiza watu sana kwa biashara yako ya ngada endelea kukaa nyuma ya nondo hata Miaka 20 ndio utoke.
 
Alichoandika kwenye hiyo barua hamna kipya ni sawa tu na hajaandika barua kabisa.
 
Barua isomwe kwenye media kwa ajili ya wa Tz, lakini sijaona any dedication kwa Watanzania. Kulikuwa na vitu vya msingi vya kuandika otherwise, sijaona jipya.
 
teh, teh kweli we fyatu na hapo umefyatuka
 
Kamba za kunyongea wauza unga China zimeisha??
China sheria zimetofautiana kutoka jiji moja hadi lingine kuna miji ukikamtwa kamba sio ya kuuliza bahati yake ndo iyo
 
china sheria yke ni kitanzi tu ila macao ni kifungo kati ya miaka 7 mpka 15.....kuna kijana namjua ametoka jela macau 2014 alikamatwa na unga 2007 akafungwa miaka 7
 
ngoja nimtafute WABOGOJO huyu atakuwa anajua mengi sana huyu jamaaa wakujipindapinda
 
fyatu kafyatuka
 
Hawa wachina wamelegea sana siku hizi, yaani huyo chakubimbi hajanyongwa tu hadi leo? Na inaonekana kama anajifariji atarudi bongo kuendelea kutuua na sembe. Hawa inatakiwa wakirudi TISS wawe wanawadunga sindano za sumu wakafie mbele
wakati wao ndo wana waruhusu wapite nazo airport
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…