Dubai na Turkey ndiyo soko kubwa la fekero za China. Kote huko fekero zinauzwa barabaraniHuyu shopping zake ni Dubai na Turkey huko...hanunui fekero labda kuanzia Sasa baada ya dili la wosia kubuma
Alikua wa evening tea na cake 🍰Nakumbuka kabla ya mzee kuanza kuumwa dada nilikuwa namuona Kama Michelle Obama hivi...maana alikuwa matawi hasa!! Sasa hivi amekuwa mswahili haswa
Ya 28k kumbe sio OG?hiyo pochi ni zile za 28,000 au ni OG?
Hiyo itakuwa ni Ile og mamilooo
Aisee....mi nilidhani mafekero yanaletwa kuuzwa huku Africa tuDubai na Turkey ndiyo soko kubwa la fekero za China. Kote huko fekero zinauzwa barabara
Ila wale mabestie wamefaidi Sana.....Alikua wa evening tea na cake 🍰
Wanazengo wanasema Ile haikuwa business eti ilikuwa location ya kujisnap....Biashara yake ya sofa vip
Habari ya mkoani Chief 😎Bado najaribu kutafuta uhusiano wa picha na caption. Wa mkoani haya mambo tuko wazito kidogo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ashasema HATOKUBALI KUSHINDWA... ATAKATA RUFAA...
Sasa kituo kinachofuata ni DNA za Mapacha na shughuli itakuwa mbuzi kufia sufuriani kwa mama lishe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mlongo leo unajua kunivunja mbavu. WallahHuyu shopping zake ni Dubai na Turkey huko...hanunui fekero labda kuanzia Sasa baada ya dili la wosia kubuma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hiyo pochi ni zile za 28,000 au ni OG?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanazengo mna midomo[emoji23][emoji23], muacheni mjane wa watu jamen , mjane wa millionare dunia nzima
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Atafanyaje inabidi awapende tu,anajifanya amepinda kakutana na wezake walio nyongorota.
[emoji23][emoji23][emoji23] ila bibi jaman khaaaahHii ni kama zile za Zari, OG zina chain
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahWanazengo wanasema Ile haikuwa business eti ilikuwa location ya kujisnap....
Sio maneno yangu my dear...waja hao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
Mmh shoga kashaona wamachame maji marefu kaamua kujipendekeza mwenyewe yaishe mxieew umaskini mbaya, kaa upate mgawo wako ulee watoto wako, watoto wa mengi sio maskin kama wewe, shukuru Mungu tu ulizaa na mzee angalau mjini na wewe utaonekana sasa hiviView attachment 1792866
Wanamkimbiza mwizi kimya kimya....tatizo mwizi kaanza kupiga mayoweKwani hao wamachame wenyewe wanasemaje? [emoji23][emoji23][emoji23]
Wapimwe DNA ndo utashangaa ni wa HamorapaWale madogo bila hata dna ni wa marehemu