Jackline Mengi: Nawapenda sana wamachame

Hata Mimi nilitaka nimuulize kwani wewe ni mwanaume au mwanamke Ila nikapotezea,maana samtaimz namfikiria ni mwanaume lkn kuna muda napatwa na maswali na namna ya uandishi wake kwamba mwanaume gani anakuwa na mwandiko wa hivi

Sasa Jinsia yangu inakupa headache Jaman
 
Asee [emoji848]..nimeelewa ngoja nipite hivi apanifai hapa

Kwan kuna aliyekuita? Si shobo zako na umbea wako ndo umekuleta humu, janaume zima kupenda mambo ya kike , hivi huoni hata aibu ku comment ?
 
ni vile tu mmesahau huu mchongo hadi daud bashite alikuwepo wakaita na chama cha wajane kumtembelea huyu bidada kwake,bashite hii kesi angeipagania sana apate cha juu na vile anavyochukia wachaga sasa
 
Mno mno yani kama kadata vile au alikua anapretend kua classy kipindi yuko na mzee na saiv hayupo anaonesha rangi yake halisi.
Mange na genge lake la insta waliwahi kumchamba Zari wakamwambia unajifanya bosslady, Bosslady gani mswahili hivi, Mabosslady kina Jack Mengi, haya sasa watengue kauli 😀
 
Jacky alijisahau Sana kuanzisha Vita na Wapalestina afu anapeleka jeshi la ardhini front.

Wapalestina wenyewe hao wa kaskazini hawana sare rasmi, wamejimix na raia, humjui adui Yupi raia mwema Ni yupi.
Afu mwili mzima wamejivika mabomu,

Anakushambulia bila kuhofia Cha kupoteza, ukimsogelea akakumbatia mnalipuka Wote.

Angejifunza kwa Waisraeli,
unampiga mpalestina kwa Airforce akishanyong'onyea ndo unapeleka ground force.

Hizi Vita za kupigana kizamani zaman Kama enzi za kinjeketile ngwale ndo Zimemcost.
 
Warumi Ni wakumuacha Kama alivyozaliwa,

ukianza kumtafakari sana utasumbuka kichwa na kamwe hutopata jibu lililonyooka.

Na akikujua unamtafakari, atakuchamba sana mpk upate BP ufe kibudu.
 
Hahaha am dead
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…