That Gentleman
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,215
- 3,678
Arudi kwenye bongo fleva tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya 28k kumbe sio OG?
Kama umezoeshwa hiyo michezo kwenye familia yenu, stick to that shit, u feel me bitch ?C ukachezee mapumbu ya baba ako kama huna kazi ?
Hii ni kama zile za Zari, OG zina chain
Hata Mimi nilitaka nimuulize kwani wewe ni mwanaume au mwanamke Ila nikapotezea,maana samtaimz namfikiria ni mwanaume lkn kuna muda napatwa na maswali na namna ya uandishi wake kwamba mwanaume gani anakuwa na mwandiko wa hivi
I'm sorry me sijui kuchamba Kama wwKwan kuna aliyekuita? Si shobo zako na umbea wako ndo umekuleta humu, janaume zima kupenda mambo ya kike , hivi huoni hata aibu ku comment ?
Mjane wa taifa!!!Wanazengo mna midomo[emoji23][emoji23], muacheni mjane wa watu jamen , mjane wa millionare dunia nzima
Yaan ni noumer. [emoji23][emoji23]Sio maneno yangu my dear...waja hao
Mlongo hapana kwa kweli, utaniua kwa kucheka lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanamkimbiza mwizi kimya kimya....tatizo mwizi kaanza kupiga mayowe
Mange na genge lake la insta waliwahi kumchamba Zari wakamwambia unajifanya bosslady, Bosslady gani mswahili hivi, Mabosslady kina Jack Mengi, haya sasa watengue kauli 😀Mno mno yani kama kadata vile au alikua anapretend kua classy kipindi yuko na mzee na saiv hayupo anaonesha rangi yake halisi.
Ila watoto wa bashite style..asante mchinaAsingezaa nje, ilikuwa lazima sana azae nae ili malengo yake yatimie
Mbona nshawahi kuwa nayo hiyo ya 28, na ina cheniHii ni kama zile za Zari, OG zina chain
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mange na genge lake la insta waliwahi kumchamba Zari wakamwambia unajifanya bosslady, Bosslady gani mswahili hivi, Mabosslady kina Jack Mengi, haya sasa watengue kauli [emoji3]
Hahaha am deadJacky alijisahau Sana kuanzisha Vita na Wapalestina afu anapeleka jeshi la ardhini front.
Wapalestina wenyewe hao wa kaskazini hawana sare rasmi, wamejimix na raia, humjui adui Yupi raia mwema Ni yupi.
Afu mwili mzima wamejivika mabomu,
Anakushambulia bila kuhofia Cha kupoteza, ukimsogelea akakumbatia mnalipuka Wote.
Angejifunza kwa Waisraeli,
unampiga mpalestina kwa Airforce akishanyong'onyea ndo unapeleka ground force.
Hizi Vita za kupigana kizamani zaman Kama enzi za kinjeketile ngwale ndo Zimemcost.