Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mchezaji maarufu wa vilio groupNdio nani huyu?!
Waziri wa fedhaNdio nani huyu?!
Mashalaah...ndio Mpango huyu?!Waziri wa fedha
Hilo chozi litakua la ufilipino huko kwa kina Angelohaaaaaaaaaa eti sio chozi la nchii hii.... litakua chozi la wapi..
Huyu ntonto nzuri sijui Kale ka skendo huwa ni ka kweli make mmmhHuyu sasa ni lazima ajitafakari upya. pengine alifanya kosa kabla ya kuingia kwenye mahusiano mapya alitakiwa atafkari sababu za kukimbiwa na ajrekebishe kabla ya kuanza mengine.
Baaaa Mmakonde ndio nini kumuacha ntoto nzuri hivyo...
Uzuri wa wolper huwa ni muwaziNa anavyojua kuwafanya mazuzu sasa !!!!!!! Kajifanya na baadhi ya picha za Harmonize kuzifuta ili awaone,na mmeshaanza kuitana kwenye page yake.
Alijua atapata zari kama la zarinakaachwa na Raj.....nikajua alivyopelekwa ndanda kuchele na kumpikia mama mkwe ndio kimeshaeleweka kumbe kijana kwake bado tu.
Alikuwa mshabiki wa EDO lakini ghafla siku hizi karudi CCMNdio nani huyu?!
Uwazi gani, Kwamba unaamini wameachana ......??Uzuri wa wolper huwa ni muwazi
Watu wa show off hata wakitofautiana utawajua tu, ShilawaduuuuUwazi gani, Kwamba unaamini wameachana ......??