Jackline wolper kaachwa tena?

Jackline wolper kaachwa tena?

Inaonekana mchaga huyo hjui kazi ya kutandani ni mzito kuserebuka
Mmakonde amembwaga
 
HAWAJAACHANA,anawaangalia tu jinsi mnavyofuatilia mahusiano yake,na anapenda mno mnavyotokwa na mapovu.
Povu kwa kipi sasa kwani kuna mtu kamuomba alie.......
Time will tell mahusiano yenye show off yani huwa ni rahisi kujua hata tofauti labda kama sio mpenda umbea teh.
 
Umedadavua kisomi na ki psychology ,,m pia nmewahi pitia andiko linahusu celebrity relationship ,,alipo saiv ingekuwa uchumi ingekuwa recession phase ,,salute " THE BOSS"
 
Povu kwa kipi sasa kwani kuna mtu kamuomba alie.......
Time will tell mahusiano yenye show off yani huwa ni rahisi kujua hata tofauti labda kama sio mpenda umbea teh.
Kwanza jua yule ni MUIGIZAJI,kwahiyo kutoa machozi kwake sio kesi . Lakini pia huko "kulia" ndiko kunawafanya mumjadili kwamba kaachwa,na ndicho kitu anachokitaka na ndio kilichotokea na ndio furaha yake kuona mnaitana kwenye page yake,na KUNA UWEZEKANO KAMWAMBIA HADI BWANA'KE "LEO NATAKA KUWATOA MAPOVU WATU"
 
Kwanza jua yule ni MUIGIZAJI,kwahiyo kutoa machozi kwake sio kesi . Lakini pia huko "kulia" ndiko kunawafanya mumjadili kwamba kaachwa,na ndicho kitu anachokitaka na ndio kilichotokea na ndio furaha yake kuona mnaitana kwenye page yake,na KUNA UWEZEKANO KAMWAMBIA HADI BWANA'KE "LEO NATAKA KUWATOA MAPOVU WATU"
Ha ha ha ha ha nitakutag kwa Ubuyu zaidi
 
Mmmmh,, lakini si ndio utamu wenyewe,, kwani hakuna mabafu..?
Mi huwa siamini lakini nahisi kasingiziwa....
Labda tu huwa hajiwezi kwa mambo mengine kwa hiyo anaonjwa tu
 
Bratt alimuacha Jeniffa, nae Bratt akaachwa na Anjelina, cha ajabu nini? Jacklin atampata aliyepangiwa na Mungu wake.
 
Back
Top Bottom