Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema kama greatthinker ukiambatanisha Na ushahidi sio chuki zako juu ya RC nawe uonekane unajua..Na familia hii ndio msimamizi mkuu wa hazina ya Vatican,(km kuna mtu alikua hana habari hiyo).Na hakuna taifa lolote haya makubwa mfano USA hawezi anzisha vita yoyote duniani bila hawa jamaa kukubali. Ndio wenye fedha so kila vita lazima Vatican wakubali kwanza. Wakigeuza kisogo yaan kukataa hiyo vita inakuwa haipo.Unaweza sema ni conspiracy lkn ndio ukweli wote .Na hizi grand families ziko tano ROTHSCHILD, ROCKEFELLER, JP MORGAN et al. Wasimamiz wa bajeti nyeusi.
Hivi kumbe nimewagusa Roman empire.Je hawa si wasimamizi wa hazina ya Vatican? Kataa hilo kwanza. Mm sina haja ya vielelezo hata km vipo mambo mengine ni nakudokeza tu tafuta taarifa jiridhishe mwenyewe.Sema kama greatthinker ukiambatanisha Na ushahidi sio chuki zako juu ya RC nawe uonekane unajua..
Thibitisha hiki ulichoandika
Hawa ndio wanaume sasa... Waliobaki wote Duniani ni wavulana. Kazi ya kusimika taifa la kikristo katikati ya taifa la magaidi wa kiislamu ni ya kiume kweli kweli.
Salute Rothschild family.[/QUOTE Sijui kama unajua kuwa mwaka huo yalianziaswa mataifa mapya mawili? Na sijui pia kama unajua hawa Jews sio wakristo? Wala Israel sio taifa la kikristo?
Taifa lipi la Kikristo?Hawa ndio wanaume sasa... Waliobaki wote Duniani ni wavulana. Kazi ya kusimika taifa la kikristo katikati ya taifa la magaidi wa kiislamu ni ya kiume kweli kweli.
Salute Rothschild family.
sometimes mambo yanakuwa overratedNa familia hii ndio msimamizi mkuu wa hazina ya Vatican,(km kuna mtu alikua hana habari hiyo).Na hakuna taifa lolote haya makubwa mfano USA hawezi anzisha vita yoyote duniani bila hawa jamaa kukubali. Ndio wenye fedha so kila vita lazima Vatican wakubali kwanza. Wakigeuza kisogo yaan kukataa hiyo vita inakuwa haipo.Unaweza sema ni conspiracy lkn ndio ukweli wote .Na hizi grand families ziko tano ROTHSCHILD, ROCKEFELLER, JP MORGAN et al. Wasimamiz wa bajeti nyeusi.
akikujibu nishtue mkuu! na asikuambie Israel katika majibu yakeTaifa lipi la Kikristo?
wanaamini ni mtoto wa nje ya ndoawajinga wengi hudhani Israel ni taifa la kikristo. Wakati huyo Yesu hawamtambui hata sekunde!
Kiswahili ni kirahisi sana.They familly jacobo rothschild how created israel