Jacob rothschild: My family created Israel

Jacob rothschild: My family created Israel

Na familia hii ndio msimamizi mkuu wa hazina ya Vatican,(km kuna mtu alikua hana habari hiyo).Na hakuna taifa lolote haya makubwa mfano USA hawezi anzisha vita yoyote duniani bila hawa jamaa kukubali. Ndio wenye fedha so kila vita lazima Vatican wakubali kwanza. Wakigeuza kisogo yaan kukataa hiyo vita inakuwa haipo.Unaweza sema ni conspiracy lkn ndio ukweli wote .Na hizi grand families ziko tano ROTHSCHILD, ROCKEFELLER, JP MORGAN et al. Wasimamiz wa bajeti nyeusi.
 
Na familia hii ndio msimamizi mkuu wa hazina ya Vatican,(km kuna mtu alikua hana habari hiyo).Na hakuna taifa lolote haya makubwa mfano USA hawezi anzisha vita yoyote duniani bila hawa jamaa kukubali. Ndio wenye fedha so kila vita lazima Vatican wakubali kwanza. Wakigeuza kisogo yaan kukataa hiyo vita inakuwa haipo.Unaweza sema ni conspiracy lkn ndio ukweli wote .Na hizi grand families ziko tano ROTHSCHILD, ROCKEFELLER, JP MORGAN et al. Wasimamiz wa bajeti nyeusi.
Sema kama greatthinker ukiambatanisha Na ushahidi sio chuki zako juu ya RC nawe uonekane unajua..
Thibitisha hiki ulichoandika
 
Sema kama greatthinker ukiambatanisha Na ushahidi sio chuki zako juu ya RC nawe uonekane unajua..
Thibitisha hiki ulichoandika
Hivi kumbe nimewagusa Roman empire.Je hawa si wasimamizi wa hazina ya Vatican? Kataa hilo kwanza. Mm sina haja ya vielelezo hata km vipo mambo mengine ni nakudokeza tu tafuta taarifa jiridhishe mwenyewe.
 
Hawa ndio wanaume sasa... Waliobaki wote Duniani ni wavulana. Kazi ya kusimika taifa la kikristo katikati ya taifa la magaidi wa kiislamu ni ya kiume kweli kweli.

Salute Rothschild family.[/QUOTE Sijui kama unajua kuwa mwaka huo yalianziaswa mataifa mapya mawili? Na sijui pia kama unajua hawa Jews sio wakristo? Wala Israel sio taifa la kikristo?
 
Hawa ndio wanaume sasa... Waliobaki wote Duniani ni wavulana. Kazi ya kusimika taifa la kikristo katikati ya taifa la magaidi wa kiislamu ni ya kiume kweli kweli.

Salute Rothschild family.
Taifa lipi la Kikristo?
 
Na familia hii ndio msimamizi mkuu wa hazina ya Vatican,(km kuna mtu alikua hana habari hiyo).Na hakuna taifa lolote haya makubwa mfano USA hawezi anzisha vita yoyote duniani bila hawa jamaa kukubali. Ndio wenye fedha so kila vita lazima Vatican wakubali kwanza. Wakigeuza kisogo yaan kukataa hiyo vita inakuwa haipo.Unaweza sema ni conspiracy lkn ndio ukweli wote .Na hizi grand families ziko tano ROTHSCHILD, ROCKEFELLER, JP MORGAN et al. Wasimamiz wa bajeti nyeusi.
sometimes mambo yanakuwa overrated
 
Ndio maana mi huwa sikubaliani na wanaosema eti Israel ile ndio Taifa teule,taifa gani teule linafanya mauaji kwa watu majirani zao wa asili pamoja na kueneza chuki duniani kote.......hata hao wanaoitwa Waisrael walioko huko huwa sio wenyewe hao ni wazungu tu walikusanywa kupelekwa huko
 
Back
Top Bottom