Jacob Steven (JB): Sijabarikiwa kupata mtoto mpaka sasa, sijawahi kuwa na mchepuko

Jacob Steven (JB): Sijabarikiwa kupata mtoto mpaka sasa, sijawahi kuwa na mchepuko

Yawezekana Ana kibamia kwa nn asipate mtoto wakati Ana umbo la chotara?
 
Kuna watu sijui wana akili gani, yaani unageuza matatizo ya mwenzio kichekesho? Wewe umejaaliwa vyote? Tuache kufuru jamani!! Wewe unayejisifu unazaa kazi yako ni kutia mimba kila binti mjini kama kibeberu cha kijiji halafu unakimbia majukumu ya kutunza watoto. Kuzaa majukumu na mtu kuitwa BABA maana yake ni kuwajibika sio kumwaga zigo lako na kula kona. Kutia mimba pekee hata jogoo anaweza.
Umenikumbusha Gwajima, '' mi nazaa Kimwili na kiroho ''
 
Kuna watu sijui wana akili gani, yaani unageuza matatizo ya mwenzio kichekesho? Wewe umejaaliwa vyote? Tuache kufuru jamani!! Wewe unayejisifu unazaa kazi yako ni kutia mimba kila binti mjini kama kibeberu cha kijiji halafu unakimbia majukumu ya kutunza watoto. Kuzaa majukumu na mtu kuitwa BABA maana yake ni kuwajibika sio kumwaga zigo lako na kula kona. Kutia mimba pekee hata jogoo anaweza.
Sasa kama jogoo anaweza Kuna wenzetu hawawezi, lakini kwa Gwajima unaombewa na kupona kwa uwezo wa Roho Mtakatifu
 
huwa sielewi mtu anapoleta dhihaka na masikhara kwenye swala la mtu mwingine kukosa mtoto, huyo makonda yes anamapungufu yake na msemeni kwa hayo sio kumdhihaki kwa kukosa mtoto, aliekupa wewe ndo aliemnyima yeye, na hata alipokuwa hakukupa na mkataba kwamba wako wewe wataishi milele na utaendelea kuwapata


Ukweli mchungu Bashite anatema povu tu, na Mungu aendelee kumlaani maana nchi yetu inaenda kombo kwaajili ya ushawishi wake kwa baba jesca, asemalo huwa ,akimchukia mtu au mfanyabiashara atajuta .

Mungu mnyang'anye hata hilo povu dushe lisisimame kabisa
 
Ukweli mchungu Bashite anatema povu tu, na Mungu aendelee kumlaani maana nchi yetu inaenda kombo kwaajili ya ushawishi wake kwa baba jesca, asemalo huwa ,akimchukia mtu au mfanyabiashara atajuta .

Mungu mnyang'anye hata hilo povu dushe lisisimame kabisa
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] sio vyema kumuombea binadamu mwenzako mabaya hata kama ni mkosaji.
 
Acha kufikiri kibashite bashite, dhihaka hapo iko wapi???? Mungu wa Gwajima ndiyo kanipa watoto mimi. Nawaelekeza mahali alipo YESU KRISTO halafu weee unasema dhihaka. Bure kabisaaaa weee.........
Ujinga mtupu, yani Gwajima ndio kakupa watoto?
 
Jamaa kaoa tangia 2002...... Tatizo linaweza kutatuliwa... serio bado jamaa anapokea sim za shamsha ford? jamaa kuna kipindi alikuwa anakubania sana.....
 
Back
Top Bottom