LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 3,255
- 6,252
lin naweza ungana nawe. niliwahi ishi maeneo jirani alipokuwa amepanga JB (tabata) aisee kuna kiserengeti boy mbavu nene nilisikiaga nikamkula shemeji yetu kwa JB. daha ndoa hizibecause i have the evidence
Ndo mnavyofundishwa na gwajima hivyo kuzihaki watu?Acha kufikiri kibashite bashite, dhihaka hapo iko wapi???? Mungu wa Gwajima ndiyo kanipa watoto mimi. Nawaelekeza mahali alipo YESU KRISTO halafu weee unasema dhihaka. Bure kabisaaaa weee.........
Mungu ampe Mtoto
Kukosa mtt kinaleta huzun sana
Umemsahau na Irene Uwoya mkuumnafiki kweli huyuu..kamla Odama weee...akamla na Shamsa Ford...!!!
Inategemea labda yupo kwenye kiyoyozi mda wote....Hivi kwa joto la dar Mtu unawezaje kuvaa mkoti hivyo?
Ivi sisi binadam bhn... Sio kila alichokujalia Mungu wote wamepewa. Hata kama dada anae ndio atafanyaje sasaSiijui familia alimokulia JB, na anavyosema kukosa mtoto hakumpi shida na ana raha zote, nashawishika kuamini kwamba JB hana dada.
daahhh!!pole sana aiseehh!!!Ningekuwa nao wawili sema magrlfriend wangu hawakuwa waaminifu walitoa mimba
Ahsantedaahhh!!pole sana aiseehh!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe je?!!hehehehehe duuuuh mchumba ulikuwa unamshikia miguu nini..
Natania..
Fanya upate wa kwako km wanne hiviAhsante
Niko mbioni sema sa hivi nina mambo mengi sana sijatulia mda wa kukaa na mwanamke kama ndoa bado na kuzaa na wanawake tofauti sio vizuri ntajitafutia lawama bure umri Wangu unaniruhusu kuoa kuzalisha na kuacha naogopaFanya upate wa kwako km wanne hivi
Jaman uwiiiiiiiieee auwiiiiiiiiieieMi najibu matusi unayoandika kwa sababu mimi huwa situkani. Kwa mfano hapo umeniita mk**und**u kwa kugeuza herufi na kujiona mjanja. Mi nakujibu hivi, hiyo ni last part of alimentary canal ambapo faeces hutoka nje. Kama una maana mimi nafanana na hapo basi Mungu ni fundi sana kwa kuniumba hivyo
Kumbe kibamia hakitungi mimba,![emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] !!!Yawezekana Ana kibamia kwa nn asipate mtoto wakati Ana umbo la chotara?
kwa nini?Maisha yamebadilika hakuna kuadopt siku hizi bibie
Intra Vitro Fertilization. Unafreeze sperm zako kitaalam baadaye mkeo anawekewa kwa njia ya mpira.Ndio nn hiyo?