Jacqueline amwandikia ujumbe mzito mume wake, Reginald Mengi

Jacqueline amwandikia ujumbe mzito mume wake, Reginald Mengi

Dagaa+kisamvu

Kwa maskini ni laana

Kwa tajiri ni tiba

Kwangu ni uboreshaji wa afya yangu
Ha haa! Mboga gani kuila tu unajisikia kichef chef, huwezi nikuta nakula dagaa nikiwa na pesa.
By the way, kisamvu ni mboga ya makaburini. Ushawahi ona shamba la kisamvu? Kisamvu huwa kinalimwa makaburini. Ukiona shamba la kisamvu ujue hilo ni la mihogo. Sio kisamvu cha mboga.
 
Jackie na uzao wake wameokota dodo chini ya mnazi. Yan wana uhakika wa kuishi raha mustarehe maisha yao yoote. Vyakula kama dagaa na kisamvu wataishia kuviona kwenye TV tu!
Alikua za kifukara hizi,kwa hiyo ukiwa tajiri hauli dagaa?
 
Back
Top Bottom