lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 12,661
- 26,457
😀😀😀😀😀hii ni gharama ya vocha aliyotumia kuongea na bwana mkubwa au?kumbukeni hadi Klyn kufikia hapo alianza na mtaji wa 3500 na hakukata tamaa
Jf ukinuna una lako jambo.😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀😀hii ni gharama ya vocha aliyotumia kuongea na bwana mkubwa au?kumbukeni hadi Klyn kufikia hapo alianza na mtaji wa 3500 na hakukata tamaa
Nalo neno [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Pesa ndio unafiki wa kwanza siwezi msemea lakini pasipo pesa huyo mengi angemfuata kumtongoza angepewa matusi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hahaha mungu niepushe na unafiki huu
NdiyoTusio na hela hao warembo tutaendelea kuwaita shemeji tu *****
Kivipi?alianza na biashara ipi?Huyu ndo boss lady orijino unaambiwa hakutegemea wanaume kabisaaaaaa sio kama akina naniii aiseeee
Jamani usitukatishe tamaa hao dagaa nawapenda ajabu. Ukiniwekea na ugali pembeni kisamvu mmhh utanifurahisha hasa dagaa wa Kigoma. Umenitamanisha!Ha haa! Mboga gani kuila tu unajisikia kichef chef, huwezi nikuta nakula dagaa nikiwa na pesa.
By the way, kisamvu ni mboga ya makaburini. Ushawahi ona shamba la kisamvu? Kisamvu huwa kinalimwa makaburini. Ukiona shamba la kisamvu ujue hilo ni la mihogo. Sio kisamvu cha mboga.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mama Sabrina nahisi ungepata nafasi ya kupewa tongozo na huyu Mzee sifa za G zisingekuwepo humuPamoja na Pesa ila mzee hapo hachukui raundi tako 5 chalii
G atazipata tu kama za mzee Mengi wala sijali ananimudu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mama Sabrina nahisi ungepata nafasi ya kupewa tongozo na huyu Mzee sifa za G zisingekuwepo humu
Ila umeongea point[emoji106] [emoji106] [emoji106]
MundendeG atazipata tu kama za mzee Mengi wala sijali ananimudu
Yap mzee akijitahidi tako 10 chali
Kwaiyo we si mnafiki wa pesa[emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5]G atazipata tu kama za mzee Mengi wala sijali ananimudu
Yap mzee akijitahidi tako 10 chali
Au watakula kwa ajili ya amu tuJackie na uzao wake wameokota dodo chini ya mnazi. Yan wana uhakika wa kuishi raha mustarehe maisha yao yoote. Vyakula kama dagaa na kisamvu wataishia kuviona kwenye TV tu!
Jacque alijitambua. Kaona the coming 50yrs. Mapenzi haya umri.Licha ya pesa jamani tuseme ule ukweli ukiwa na unaye endana naye kwa umri usio zidi sana, inapendeza kusema ule ukweli sasa vijana sijui mnakuwa wapi mpaka babu zenu wanabeba warembo mnaishia ku comment tu humu, [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Hongera yakeJacque alijitambua. Kaona the coming 50yrs. Mapenzi haya umri.
Not bad kwa mtu kuibusu ATM yake...eti ujumbe mzito!
Licha ya pesa jamani tuseme ule ukweli ukiwa na unaye endana naye kwa umri usio zidi sana, inapendeza kusema ule ukweli sasa vijana sijui mnakuwa wapi mpaka babu zenu wanabeba warembo mnaishia ku comment tu humu, [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]