Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia

Eeh,maybe watu wanafikiria kwamba hao kina Regina leo hii wakatwaliwa kwamba mali zitakua za gao madogo by defaulty[emoji23][emoji23] very funny.. akina regina wana ndugu umamani na ubabani na wako nao bega kwa bega since day one akina Benjamine. Bado madogo hawatokua in a good position labda kizazi na kizazi. Halaf regina kutokuzaa who knows about her health status? Kwanini uumie yeye kutokuzaa? Kwamba kutokuzaa kwao yete na kakake kwamba ndo iwe sababu ya baba yao kuzaa wengine?

Eti kama warithi, hao siyo warithi kwani? [emoji23][emoji23] je na hao madogo wasipokuja kuzalisha je? Si rahisi kihivyo jamani. Cha muhimu jacky atengeneze mazingira ya amani kwa hao nduguze watoto wake. Tusisahau kuna principals za uchaggani pia. Huyu shimimana malaya tu naye.

She had all possibilities to make it akazingua. Halafu jamani Amani alifariki[emoji26][emoji26] the middle man between klyn na mengi family. Alikua kijana wa mengi kwa mambo mengi sana.
 
Oh nashukuru sana. A very important post na watu waje wasome wajifunze kitu
 
Huu uelewa hana huyo Jacky,yeye anajua kudanga tu,securing future ya watoto wake hata hajui.Huwa nawambia wenzangu,kwanza mimi wosia ningeukana kisha nikawakabidhi rasmi wadogo zao pale pale huku nalia machozi kuwa future ya hawa watoto inawategemea wao Kaka na Dada yao halafu natulia wala sisumbui mtu yoyote.Wanangu wangekuwa kwa mikono salama,lakini hizi drama alizozianzisha wala hazina msaada sana kwake.Elimu,Elimu,Elimu na hasa kwa watoto wa kike.
 
Hivi Regina kaolewa ?
 
Mimi naomba niulize swali kwa wataalamu najua mtanielewesha.

1. Hivi kama
Mke akifa kabla ya mume na mke ndo aliekua amejenga nyumba kwa tabu peke yake na watoto wake huku mume anahangaika na wanawake wa nje. Haki itambeba zaidi baba si ndio? Na what if mama alishirikiana na watoto kujenga na hati ina majina ya mama na watoto wake wote. Bado itatambulika kama matrimonial property as in Baba atakua na haki na hiyo nyumba kwa 100%?

2. Na kwa situation kama Baba amefariki hakukuwa na will ila nyumba ina majina ya watoto wa ndoa tu, je wale wa nje nao wataweza kuirithi?
 
Watamuachia Mtoto wa Marehemu Mutie yule wa kiume zote..maana Sasa hivi atakua mkubwa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ile Will inasema kua Jack akishindwa kusimamia Mali apewe dada ake Shimimana[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]sio watoto wa Mengi Wala nduguze[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]yaani wamejua kuua bendi asseehh

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ngoja niulizie nikupe majibu sahihi.Hii issue ni very sensitive lazima tusaidiane kupata majibu sahihi
 
Hahaha kitu cha kwanza nilichocheka ni wosia kuwa nao klyne. Hahaha dah. Toka lini jamani.
Pili, huyo wakili shuma nilimuuliza kama aliandaa alikataa akasema amesaini tu. That means jacky made it. Shwaini kabisa. Mawakili wa kigogo. Ila akina shuma nao wamachame labda aliona akienda kwa hao ataonekana ni ya kweli. Ila alifeli sana kwa hili[emoji23]
 
Watu ni wabishi sana, wakati mwingine Mme na mke wapo pamoja ndugu utakuta wana sarandia mali mpaka unashangaa badala mtu atafute zake anasubilia ndugu yake atangulie, kwasasa nikuandika majina yote mawili ili anayeingia hapo kati anakuta patupu.
 
Huo upuuzi hata watoto wakikuwa watamtukana Mama yao,hao ni Wachagga ajue na siyo Warundi [emoji1][emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…