Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakuwa mke? walioana kimisingi ya dini? angalikuwa muislam asingepata adha yote hio. katika uislam misingi ya mirathi imewekwaJackline anatafuta kifo tu kugombea Mali ambazo hausiki nazo na amezikuta.
Muhaya hawezi kuwazidi akili wachaga, anajidanganya tu.
Yes ni mnyarwanda, na dada yake anaitwa shimimanaYule sio muhaya ni mtusi wa ngara au manyovu, hana uhaya wowote
Hata kwenye ukristo swala la mali lipo wazi. Mkioana ni mpaka kifo hivo anayebaki ndio mrithi. Hapo issue sio Dini issue ni last will and testament hata angekuwa muislam akiacha wosia utafuatwa sidhani kama waislam wote wanafuata taratibu za dini kwenye mali (waliomatajiri)hakuwa mke? walioana kimisingi ya dini? angalikuwa muislam asingepata adha yote hio. katika uislam misingi ya mirathi imewekwa
Wapo masheikh waliosomea mirathi wantakiwa wauchambue jee waasia huu ni haki? kama ni haki unampa haki yakeHata kwenye ukristo swala la mali lipo wazi. Mkioana ni mpaka kifo hivo anayebaki ndio mrithi. Hapo issue sio Dini issue ni last will and testament hata angekuwa muislam akiacha wosia utafuatwa sidhani kama waislam wote wanafuata taratibu za dini kwenye mali (waliomatajiri)
Ila ng'ombe akikonda hawezi lingana na sungura, amepatapata kwa maisha yetu ya Kiafrika yupo njema, tatizo tu alitaka pakubwa na kwa kuwa wale watoto wakubwa walirithi hisa za marehemu mama yao ambazo ni nyingi, bidada Jacq akaona kama hawawezi leta jam kwenye wosia wake wa mchongo. (aliwahi kuhojiwa akasema kila mtu amepata mgao mkubwa tu akatolea mfano hisa za mke mkubwa kwa watoto wake akasahau hata hisa za baba wana haki nazo pia)Mkeka wa Jack umeshachanika......
Aangalie tu ustaarabu mwingine
Anazidisha tu tamaa ila naamini hana maisha ya njaa kama sisi raia wa kawaida.Ila ng'ombe akikonda hawezi lingana na sungura, amepatapata kwa maisha yetu ya Kiafrika yupo njema, tatizo tu alitaka pakubwa na kwa kuwa wale watoto wakubwa walirithi hisa za marehemu mama yao ambazo ni nyingi, bidada Jacq akaona kama hawawezi leta jam kwenye wosia wake wa mchongo. (aliwahi kuhojiwa akasema kila mtu amepata mgao mkubwa tu akatolea mfano hisa za mke mkubwa kwa watoto wake akasahau hata hisa za baba wana haki nazo pia)
Rudi usome ulichoandika. Usiwe mbishi mkuu. 😆😆😆🤗Sawa.nielimishe sasa.familia ya mengi inamkwepa vipi jack.na ukimbuke kuwa jack kaolewa na ndoa ya kanisani na hawakuachana na watoto wamezaa na mengi.
Wanamuudhi marehemu.Rudi usome ulichoandika. Usiwe mbishi mkuu. 😆😆😆🤗
Tanzania siyo islamic state, mambo ya mirathi yanaamuliwa kwenye court of law na siyo sharia.hakuwa mke? walioana kimisingi ya dini? angalikuwa muislam asingepata adha yote hio. katika uislam misingi ya mirathi imewekwa
Ni muha wa manyovu mwenye asili ya rwandaYule sio muhaya ni mtusi wa ngara au manyovu, hana uhaya wowote
KWA WAKIRISTO LKN WAISLAM WANASHERIA ZAO AMBAZO HATA AFRIKA HAIJAZALIWATanzania siyo islamic state, mambo ya mirathi yanaamuliwa kwenye court of law na siyo sharia.
Hakuna shería za waislamu Tanzania, mambo ya Sharia ni kwenye Jamhuri za Kiislamu.KWA WAKIRISTO LKN WAISLAM WANASHERIA ZAO AMBAZO HATA AFRIKA HAIJAZALIWA