Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia

Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia

Ndoa sikitu na watoto sikitu na wosia sikitu kwenye mambo ya urithi, mahakama inachoangalia ni kuona haki inatendeka kwa watoto wa marehemu na mama zao na je mama wa watoto walichangia kiasi gani kwenye hiyo mali.
MKUU SHERIA INASEMA MTOTO ANAHAKI YA KURITHI MALI YA MZAZI WAKE SO WATOTO WOTE WA MENGI WATARITHI TUU HAKUNA KIPINGAMIZI HAPO.
ILA KWA JACK NDO WANAWEZA KUAANGALIA ALICHANGIA NGAPI MAANA KWENYE NDOA HAKUNA 50 KWA 50.
 
Sawa sikatai lakini mbona alifunguliwa miradi ameiua ,au anataka awe CEO wa IPP na associates wake?
Anafikili kufanya biashara ni raisi sana , ngoja apewe HIZO MALI ma WATOTO asije akafujisha zote, maana mali nazo zinapotea.
 
Hawawezi kugoma kuwasomesha na wale watoto ni damu zao labda kuna mabadiliko mfano kuwaamisha shule ndo wakashindwa kuelewana, jack inabidi akubali sasa hivi mengi hayupo kwaiyo maisha hayawezi kuwa vile vile, matunzo ambayo alikua anayapata yeye na watoto lazima yatashuka haiwezekani yakawa vile vile kama kipindi ambacho mengi yupo
Mimi mwenyewe nimemuhuliza kwa nini Wagome, SIDHANI kama ni kweli walikataa kuwasomesha wadogo zao.
 
Bachuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu..........kisa mali za mangi !???
We nae bachuuu nini sasa ....unajaza server
 
Kama nimeelewa hoja za jack za kukata rufaa ni kutaka wosia wa mengi ule wa mwanzo ndo utumike

Yote kwa yote jack hawezi kukosa chochote maana ana watoto wa mengi wawili, kama mengi kaacha watoto 4 wanaofahamika na wale watoto mapacha wapo ndani ni lazma watakuja kugawana sawa na ndugu zao.je mama yapo hatopata ?

na ukiangalia mzee Mali zake kila siku zinaongezeka
Duu kumbe kuna Mgao wa WATOTO sita daaa
 
Ni kweli mkuu, K lyn alikosea alipozidisha tamaa yaan apate sehemu kubwa kuliko familia ya mzee (watoto wakubwa)

NB: Jack(K lyn) si mhaya.
Ni Muha wa Manyovu kwa Makamu wa Rais.
 
Dubai kuna Bwanake. Hata alipokuwa huko marehemu alikuwa anamwacha Mzee mgonjwa anaenda kwa Bwanake. Familia ilipojulishwa kuwa bana Hali iko hatsrini waliosafiri kimyakimya mpaka hospitali hawakumkuta Danga. Wakampigia simu haikupatokana. Yaani hili ni international Danga.
Duuu hio ni hatari kama ndo hivyo hata MALI za WATOTO akichukua anaweza kufugisha na zikapotea.
 
WALE WATOTO WAKUBWA NI MATURED ENOUGH TO HANDLE HARD TIMES LIKE THIS ,JE NI KWANN WASIJE ITISHA PRESS CONFERENCE KUELEZEA NI MWAKA GANI BABA YAO ALIWA KASIMISHA MAJUKUMU YA MALI ZOTE NA BIASHARA ZOOOOTEE ............HII ITASAIDIA KU MAKE SENSE ASEEEEEEEEEEEEE
Press ya Nini.!? Wakati mali za baba yao na mama yao na walihusika pakubwa kuzichuma

Kumbuka wale ni watu wazima first born wa mengi Yuko around 50's abdiel atakuwa late 40's

So wamehusika pakubwa na hata baba yao wakati Yuko hai walikuwa na positions Kila mtu ndani ya IPP.

So hawana Cha kuthibitishia ulimwengu.

Hizo asset ni za baba na mama yao.
 
Dah ama kweli , yali nenwa MWANAUME HATUWEZI SHINDA NGUVU YA MBUSUSU JAMANI ASEEEEEEEEE
 
Press ya Nini.!? Wakati mali za baba yao na mama yao na walihusika pakubwa kuzichuma

Kumbuka wale ni watu wazima first born wa mengi Yuko around 50's abdiel atakuwa late 40's

So wamehusika pakubwa na hata baba yao wakati Yuko hai walikuwa na positions Kila mtu ndani ya IPP.

So hawana Cha kuthibitishia ulimwengu.

Hizo asset ni za baba na mama yao.
Early 40s
 
Back
Top Bottom