Lexus SUV
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,493
- 5,591
Rufaaa labda ya kutoka umoja wa mataifa au umoja wa wachagga wote dunianiTunasubiria rufaa nyingine[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rufaaa labda ya kutoka umoja wa mataifa au umoja wa wachagga wote dunianiTunasubiria rufaa nyingine[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Rufaaa labda ya kutoka umoja wa mataifa au umoja wa wachagga wote duniani
[emoji1][emoji1][emoji1] Bado tunamsubiri Mjane alete tena episode nyingine.Hii ya Mahakamani imeshaisha tayari.Wana nzeng9 , mbona leo kwenye thread hii kumepoa sana wana mzengo!!!!!!
Yani tunamsubiri 'Mjane wa Taifa' alete drama nyingine kisha tutembee nae sambamba.Tunasubiria rufaa nyingine[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu mimi ninavyojua SHERIA ya ndoa ya Tanzania unaruhu mwanandoa kumiriki MALI binafsi bila kushirikiana cha msingi uwe na ushaidi tuu.Naombeni mwenye ujuzi na hili anisaidie
Wana nzeng9 , mbona leo kwenye thread hii kumepoa sana wana mzengo!!!!!!
Bachuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu..........kisa mali za mangi !???Mjane anamtuma Dada yake vilingeni tunamsubili waje na jipya
Shukrani mkuu👏🏼Mkuu mimi ninavyojua SHERIA ya ndoa ya Tanzania unaruhu mwanandoa kumiriki MALI binafsi bila kushirikiana cha msingi uwe na ushaidi tuu.
Kwa HIO hali kama mama alijenga nyumba kwa pesa yake mwenyewe na USHAHIDI uponkwamba mwanaume hakuchangia hata senti 1, basi hii nyumba na ya mama na watakao Ritchie ni WATOTO wa huyo mama, coz USHAHIDI si upo kua alijenga mama pekeake.
Labda mama afariki bila kuacha USHAHIDI wowote hule. Sawa.
Ila kama aliacha USHAHIDI kabisa kwamba nyumba ni ya mama pekeake watitsi hapo ni WATOTO, WAKE WATOTO wa mwanaume wa nje hawahusiki.
Kama Ntuyabaliwe imetelekezwa na wote sasa wanaitwa The Mengi's unadhani mchezo.Bachuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu..........kisa mali za mangi !???
Muda tunao[emoji23][emoji23]Yani tunamsubiri 'Mjane wa Taifa' alete drama nyingine kisha tutembee nae sambamba.
Yani tumeinvest katika hili mpaka kieleweke.Hatutaki udangaji wenye udhulumaji ndani yake.Watutsi wa kuchovya wanajionaga wajanja wamekutana na Wamachame kimewaka.Muda tunao[emoji23][emoji23]
Yaaani shoo shoo. Mwenyewe atapiga mayowe...Yani tumeinvest katika hili mpaka kieleweke.Hatutaki udangaji wenye udhulumaji ndani yake.Watutsi wa kuchovya wanajionaga wajanja wamekutana na Wamachame kimewaka.
Kachochezi sana wewe[emoji28]Wana nzeng9 , mbona leo kwenye thread hii kumepoa sana wana mzengo!!!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani tumeinvest katika hili mpaka kieleweke.Hatutaki udangaji wenye udhulumaji ndani yake.Watutsi wa kuchovya wanajionaga wajanja wamekutana na Wamachame kimewaka.
Wazazi wake WANA asili ya watutsi wa burundi.Yule sio muhaya ni mtusi wa ngara au manyovu, hana uhaya wowote,
Panzi mbishiKachochezi sana wewe[emoji28]
MKUU KWA SHERIA YA TANZANIA NI KWAMBA WATOTO WOTE WA MENGI WATARITHI MALI YA BABA YAO HATA HAO WA JACK WATAPATA TUU KTK HIO 37.5% NA JACK ATAPEWA KIHASI COZ ALIKUWA NI MKEWE ILA KINAWEZA KIKAWA NI KIDOGO TOFAUTI YA WATOTO, MALI YA WATOTO WA JACK LAZIMA ATAKUWA YUPO MTU WA KUZISIMAMIA KWA AJILI YA WATOTO WA JACK NA MENGI , SIDHANI KAMA JACK ATAPEWA HIO KUWA MSIMAMIZI WA MALI ZA WATOTO WAKE COZ YEYE HAKUCHANGIA KWENYE HIZO MALI ZA MENGI LA FAMILIA WAAMUE KUMPA TUU AWE MSIMAMIZI, COZ WATOTO HAWAWEZI PEWA SASA HIVI COZ BADO HAWAJAFIKISHA 18.Kwa hyo unataka kusema licha ya jack kuolewa na mengi Hana haki ya kurithi?hamuoni Kama no dhuluma kwa mjane?mzee alishajichanganya waangalie kilicho chake wampe waachane kwa amani.na hao watoto ni lazma walelewe na mama yao kupitia fedha za baba yao.hauwezi kusema mpaka wakue ndo wapewe . Nani atawasomesha?
Mkuu alichangia HIZO MALI za MENGI KWANI? Hizo 37.5%Hata akiacha mali zigawanywe kwa usawa atapata share kubwa tu ukizingatia kamkuta mengi tayari ni tajiri.. anachozingua huyu dada anataka kupiga kila kitu kama vile wamehustle pamoja na mengi kutafuta izo mali