Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia

Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia

Naombeni mwenye ujuzi na hili anisaidie
Mkuu mimi ninavyojua SHERIA ya ndoa ya Tanzania unaruhu mwanandoa kumiriki MALI binafsi bila kushirikiana cha msingi uwe na ushaidi tuu.
Kwa HIO hali kama mama alijenga nyumba kwa pesa yake mwenyewe na USHAHIDI uponkwamba mwanaume hakuchangia hata senti 1, basi hii nyumba na ya mama na watakao Ritchie ni WATOTO wa huyo mama, coz USHAHIDI si upo kua alijenga mama pekeake.
Labda mama afariki bila kuacha USHAHIDI wowote hule. Sawa.
Ila kama aliacha USHAHIDI kabisa kwamba nyumba ni ya mama pekeake watitsi hapo ni WATOTO, WAKE WATOTO wa mwanaume wa nje hawahusiki.
 
Mjane anamtuma Dada yake vilingeni tunamsubili waje na jipya
Bachuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu..........kisa mali za mangi !???
 
Mkuu mimi ninavyojua SHERIA ya ndoa ya Tanzania unaruhu mwanandoa kumiriki MALI binafsi bila kushirikiana cha msingi uwe na ushaidi tuu.
Kwa HIO hali kama mama alijenga nyumba kwa pesa yake mwenyewe na USHAHIDI uponkwamba mwanaume hakuchangia hata senti 1, basi hii nyumba na ya mama na watakao Ritchie ni WATOTO wa huyo mama, coz USHAHIDI si upo kua alijenga mama pekeake.
Labda mama afariki bila kuacha USHAHIDI wowote hule. Sawa.
Ila kama aliacha USHAHIDI kabisa kwamba nyumba ni ya mama pekeake watitsi hapo ni WATOTO, WAKE WATOTO wa mwanaume wa nje hawahusiki.
Shukrani mkuu👏🏼
 
Bachuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu..........kisa mali za mangi !???
Kama Ntuyabaliwe imetelekezwa na wote sasa wanaitwa The Mengi's unadhani mchezo.
 
Yani tumeinvest katika hili mpaka kieleweke.Hatutaki udangaji wenye udhulumaji ndani yake.Watutsi wa kuchovya wanajionaga wajanja wamekutana na Wamachame kimewaka.
Yaaani shoo shoo. Mwenyewe atapiga mayowe...
 
Yani tumeinvest katika hili mpaka kieleweke.Hatutaki udangaji wenye udhulumaji ndani yake.Watutsi wa kuchovya wanajionaga wajanja wamekutana na Wamachame kimewaka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
cocastic i love you mamiiiiiiiiiiiiii.









Hahahhhh dah naw3za mwaha unfese hapa kumbe ni jianaume tuuuu weeee
 
Kwa hyo unataka kusema licha ya jack kuolewa na mengi Hana haki ya kurithi?hamuoni Kama no dhuluma kwa mjane?mzee alishajichanganya waangalie kilicho chake wampe waachane kwa amani.na hao watoto ni lazma walelewe na mama yao kupitia fedha za baba yao.hauwezi kusema mpaka wakue ndo wapewe . Nani atawasomesha?
MKUU KWA SHERIA YA TANZANIA NI KWAMBA WATOTO WOTE WA MENGI WATARITHI MALI YA BABA YAO HATA HAO WA JACK WATAPATA TUU KTK HIO 37.5% NA JACK ATAPEWA KIHASI COZ ALIKUWA NI MKEWE ILA KINAWEZA KIKAWA NI KIDOGO TOFAUTI YA WATOTO, MALI YA WATOTO WA JACK LAZIMA ATAKUWA YUPO MTU WA KUZISIMAMIA KWA AJILI YA WATOTO WA JACK NA MENGI , SIDHANI KAMA JACK ATAPEWA HIO KUWA MSIMAMIZI WA MALI ZA WATOTO WAKE COZ YEYE HAKUCHANGIA KWENYE HIZO MALI ZA MENGI LA FAMILIA WAAMUE KUMPA TUU AWE MSIMAMIZI, COZ WATOTO HAWAWEZI PEWA SASA HIVI COZ BADO HAWAJAFIKISHA 18.
LICHA YA HAYO YOTE PROBABILITY YA KUOEWA MALI ZA WATOTO NI KUBWA COZ YEYE NI MAMA NDO ATAISHI NAO WATOTO.
 
Hata akiacha mali zigawanywe kwa usawa atapata share kubwa tu ukizingatia kamkuta mengi tayari ni tajiri.. anachozingua huyu dada anataka kupiga kila kitu kama vile wamehustle pamoja na mengi kutafuta izo mali
Mkuu alichangia HIZO MALI za MENGI KWANI? Hizo 37.5%
 
Back
Top Bottom