Jacqueline Mengi anamiliki mkoba wenye thamani ya zaidi ya milioni 60

Shughulisha ubongo, hivi hakuna vijana waliopenda kumuoa!
 
Jamani huyu mama hajaenda shoping kununua bali ilikuwa kazawadi kutoka kwa Mzee wake kwa kumzalia mapacha. Hamtaki tuwatuniku wake zetu zawadi jamaa?? B/up sana mzee Mengi, onesha unavyomthamini mkeo kwa zawadi ya maana
 
Angechukua laki tano tu akampa mmasai amtengenezee mkoba kwa ngozi ya mbuzi, pesa inayobaki angefanyia mambo ya msingi au kuwasaidia wasio na uwezo kama hana kazi nazo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kwanini watanzania tu wavivu halafu ombaomba wakubwa? Mtu aache kuishi maisha yake anayotaka, aishi kifukara fukara kisa anakusanya fedha za kuwapa watu wavivu ambao hawataki kufanya kazi? Mengi ni mtu anayesaidia sana wasio na uwezo na hawezi kusaidia Tanzania nzima. Watu wanatafuta fedha ili waishi maisha wanayotaka na siyo eti wasaidie watu wavivu wanaokaa bial kazi wakisubiri msaada! Mawazo ya kifukara bwana!
 
Sio wote wavivu ,kuna vilema,kuna vikongwe,wagonjwa na watu mbali mbali wanaohitaji msaada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ya karume ya plastic man. Hii kitu ni Og.. sema vile mtoto mkare kama huyu anapenda vitu vya juu halaf na vile mbesa ipo

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu wanasema awasaidie mafukara utakuta hawajawahi kumsaidia mtu hata siku moja. Hawajui hata hawa omba omba tunaowaona kwenye mataa nao huwa wakiona mtu mwenye pikipiki wanatamani angenunua baiskeli na fedha inayobaki awagawiye.
 
Sio wote wavivu ,kuna vilema,kuna vikongwe,wagonjwa na watu mbali mbali wanaohitaji msaada

Sent using Jamii Forums mobile app
Na wapo wengi kweli kweli! Ndiyo maana ni impossible kuwasaidia wote. Anajaribu kufanya kile kilicho juu ya uwezo wake. By the mtu kama wewe hata kama unamiliki vitz unaweza kuiuza na kununua pikipiki na fedha inayobaki ukiwagawia! Au!
 
Na wapo wengi kweli kweli! Ndiyo maana ni impossible kuwasaidia wote. Anajaribu kufanya kile kilicho juu ya uwezo wake. By the mtu kama wewe hata kama unamiliki vitz unaweza kuiuza na kununua pikipiki na fedha inayobaki ukiwagawia! Au!
Huwa napenda kutumia vitu vyenye minimum cost. Mfano tecno N2 na Samsung note 4 zote ni sim na zinperform basic operations but bei zinatofautiana,in this case nachagua tecno N2 pesa inayobak naangalia ishu zingine za kufanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
And what is minimum cost? Minimum cost is a relative term dear! Wewe hiyo techno N2 unasema ni minimum wakati kuna mtu hajala! Unaonaje ukatumia tochi ya mchina halafu ukampa hizo zilizobaki?
 
And what is minimum cost? Minimum cost is a relative term dear! Wewe hiyo techno N2 unasema ni minimum wakati kuna mtu hajala! Unaonaje ukatumia tochi ya mchina halafu ukampa hizo zilizobaki?
Nahitaji smartphone kwa sababu mbali mbali, simu yoyote yenye basic operation za smartphone natumia bila shida yoyote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…