Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Kwa ni la SabaKilaza Huyo Hana akili mzee alimfungulia amorete company mpaka Sasa inaishia kufa ... Alinunuliwa hisa huko Dubai ... Kwa kifupi Huyo manzi Ni kichwa panzi Hana akili, ni darasa la saba asiejielewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu kuna mahali anasema hajawahi kuongelea hayo masuala na mume wake,kuna mahali tena anasema mume wake alisema ana watt4 ,lkn share yake ni ya watt wadogo tu!Ndio maana waswahili wanasema alihusika kuandika ule wosia maana alitaka wakubwa wasipate sababu tayari walishapata kwa Mama hivyo 50 iliyobaki ni yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hua nasikia wanasema hadi kifo kitakapo watenganisha...sasa huyu binti si Mumewe alishafariki, kwanini asiendelee na maisha yake?
Ndugu we acha kabisa, usiseme hivyo, I know this issues za mirathi, sio kama hivyo mnavyodhani, Nina very big experience na hayo, hata wosia ukiwepo utashangaa huyo Jacq asishinde, sababu huwa wanarudi nyuma hadi kwenye mila na desturi, na hizi huwa na nguvu sana kwenye kesi za mirathi. Na wakifuata hizo basi ndugu watashinda mapema kabisa (if you know mila za kichaga), anyway Mimi sijui nani mwenye haki nani hana haki ila Mungu asaidie kila MTU apate stahiki yake sawasawa na anachostahiri. Wosia hauaminiki kwa sababu ambazo nashindwa kuzichambua hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
naona upande wa pili wanakimbiza mwizi kimya kimya mwisho wa siku mwizi anaanza kupiga kelele kuomba msaada
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] una amini vipi unachokisikia hapa, ili Hali tupo nyuma ya kibodi, lolSiku zote nlikuwa najua we ni mwanamke ndo nimejua Leo we ni baharia mwenzetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaopinga wosia wakishinda maana yake hakuna kitakacho tekelezwa katika huo wosia ikiwa ni pamoja na hayo maelezo uliyoyasikia.
Kule tunasubiria warudi mahakamani,ila familia itashinda kesi mchana kweupe,yule mtoto anapewa maneno na wajomba zake ili waendelee kula mali ya erastoBoss.. Kuna ule Uzi nilikuomba Uulete hapa wa Familia ya Msuya.. Naona kimya Mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah babu alizinguaHuyu mzee many naye alibugi kuishi naye
Kumbuka ashaishi na knje tena Akaishi na yule mafi@ wa kibulgaria aliyetimuliwa nchni.
Ngoja niishie hapa.
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kumbuka marehemu yupo at liberty kumpa yeyote yule anae wish mali yakeAnd to me kwamawazo may be i might be wrong, lakini katika mali zote zilizo orodheshwa hamna hata moja aliyo wahi kuichuma na Marehemu,this is where the challenges goes
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16]nalo nenoYaani Jack ana strategic plan kuhusu biashara? Unaota mkuu.Jack hatawesa kuwa bilionea..kwasabbu deep inside anajua sio mkweli..hkunaga..hela inataka usafi wa rohomkuu...huyo ataishia level hizo hizo...kwa ubilionea nakataa! Hana akili hizo..umekaa na mume 9yrs unakuja kufanya biashara za furniture?? Khaa
Kumbe[emoji848][emoji16]Mali za jasho LA mtu hazifikagi mbaliKilaza Huyo Hana akili mzee alimfungulia amorete company mpaka Sasa inaishia kufa ... Alinunuliwa hisa huko Dubai ... Kwa kifupi Huyo manzi Ni kichwa panzi Hana akili, ni darasa la saba asiejielewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Jack hana akili kabisa,anataka wafute kuwa Mengi alikuwa na cognitive problems ili ashinde kesi ya urithi? Yaani ameishi na Mengi kwa miaka 9 basi anajiona kama kashiriki kutafuta mali na Mengi. Jack anataka Mengi asiwagawie hata mia wanae wakubwa eti kisa walipata share kwa mama yao. Sasa hawastahili kupata share kutoka kwa baba yao?
Yaani ktk interview nilimshangaa na kuhisi kimeo pale aliposema kua walikua wakifika machame wanafikia nyumba ya familia baadae mme wake akaone ajenge awe na mji wake awe huru yaani nkajua tayari jini hiloo 'makata wa makatani kashaingia hakuna amani tena'vululuvululuu kaingia kavunja kila kitu alichokuta yaani ni mbinafsi haswaaa
Sent using Jamii Forums mobile app