Kwani mke wa kwanza wa marehemu by the time ana umri wa k-lyin aliazisha biashara gani ya kwake binafsi yeye kama mke? We huoni fenicha nzuri zile? Na hao watoto wa mwanzo wamewahi kuanzisha biashara gani binafsi tuone ubunifu wao? Kwa hiyo hata kama hiyo ya fenicha haijasimana ni sehemu ya biashara, si lazima unapoanzisha isimame ila mtu uoneshe ubunifu!!! Mengi mwenyewe alipitia kuanzisha na kufunga biashara tofauti tofauti!!!
Mkuu ujue unaandika vitu havina mantiki.
Ushawahi kuona familia za mabilionea? Wakina Mo? Dangote? Huwa biashara tunaziendeleza kizazi na kizazi.
Ndicho walichofanya wakina Regina na Marehemu Mutie.
Hiyo ni biashara ya familia.
Hata mimi nina kampuni nategemea mwanangu akimaliza kusoma aje aende she kampuni na wajukuu humo humo.
Na ndo wahindi wanatuacha mbali sana sababu sisi waswahili tuna mentality mbovu mtoto aajiriwe au aanzishe cha kwake na si kuendeleza.
Turudi kwa Jack kwa akili ya kawaida huwezi kuingia familia umekuta mali na watoto wakubwa wamepambana na mama yao na baba yao na wewe utegemee hapo.
Alitakiwa amuambie mzee amuandalie za kwake na wanae.
Alitakiwa aanzishe chao na si kudai jasho au kung'ang'ania jasho la Mama Mercy, Mutie, Regina na Rod.
Yaani Jack alifeli Big time na huwezi mlinganisha Jack na Mama Mercy hata kidogo yule mama alianza na mumewe zero kabisaaaaa mpaka alipofika.
Sent using
Jamii Forums mobile app