Jacqueline Mengi: Maneno ya kashfa na kumchafua mume wangu yamesemwa mahakamani, sikubali usuluhishi hadi yakafutwe

Jacqueline Mengi: Maneno ya kashfa na kumchafua mume wangu yamesemwa mahakamani, sikubali usuluhishi hadi yakafutwe

Huyu bado ana akili za madanga pamoja na kuwa aliolewa na bilionea, hajui silence speaks volume...

Familia iko kimya...mahakama inafanya yake..yeye anasema jambo likiwa mahakamani siyo siryi linazungumzwa nje??kabla ya uamuzi wa mwisho, hukumu, kutolewa??

Angejua kwa mwendo huu watz, tunaielewa familia zaidi kuliko yeye...

Jackie kaa kimya, katemea nyongo chooni..Utapoteza

Everyday is Saturday...................😎
 
Yaani Jack ana strategic plan kuhusu biashara? Unaota mkuu.Jack hatawesa kuwa bilionea..kwasabbu deep inside anajua sio mkweli..hkunaga..hela inataka usafi wa rohomkuu...huyo ataishia level hizo hizo...kwa ubilionea nakataa! Hana akili hizo..umekaa na mume 9yrs unakuja kufanya biashara za furniture?? Khaa
Kwani fenicha biashara mbaya?
 
Huyu bibieee nilikuwa namuona smart sana kumbe ni mweupeeeeeeh uwiiiiiih lol, kapitwa Hadi na Zari yaan saiv anavojichanganya nabaki kuona aibu Mimi Damon, ningekuwa mim ndo jack wallah saiv ningekua na mabilli ya pesa kweny acc huko Ughaibun, sas yey ndo akaona et kuuza furnitures iz it real,? Poleeeeeeeeeh yakeeee ujanja kuwahi mweeeeeeh.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu bibieee nilikuwa namuona smart sana kumbe ni mweupeeeeeeh uwiiiiiih lol, kapitwa Hadi na Zari yaan saiv anavojichanganya nabaki kuona aibu Mimi Damon, ningekuwa mim ndo jack wallah saiv ningekua na mabilli ya pesa kweny acc huko Ughaibun, sas yey ndo akaona et kuuza furnitures iz it real,? Poleeeeeeeeeh yakeeee ujanja kuwahi mweeeeeeh.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona kama wewe ndio mweupe kumshinda[emoji848]
 
Hata Mahakama ikigawa mali upya huyu jackie na wanawe wanaishia kuwa ma bilionea. Na believe it or not palipo uhai, by the time mapacha wake wanafika umri sawa na watoto wakubwa wa mengi huyu jackie atakuwa amejenga business empire kubwa kuliko mali yote aliyoiacha mengi!!!

Huyu dem ni strategist na ana akili ya biashara kuliko wale watoto wakubwa wa mengi. Kwa kifupi zikiibuka business empire mbili tofauti, ya huyu itakuwa zaidi kuliko ya familia ya mke wa kwanza!!!
not this Jackie!
Alishindwa kutengeneza empire za business Mengi akiwa hai, ataweza sasa hivi!
She is just a trophy wife!
baaaaaaaaaaaaaaaas!
 
Inashangaza zaidi kuona wanawake ndo wapo mstari wa mbele kumsema Jacq vibaya. Smh

Ukiwa ndoani your spouse na watoto ndo immediate relatives wengine wote wanafuata hata wazazi wako, kwa mujibu wa sheria. Hata Mengi asingeandika urithi Jacq na watoto wao ilibidi wapate sehemu kubwa ya mali. Kusikia kaka wa Mengi anagombania mali ni kituko.
 
Jack hana washauri? Hajui kuwa hiyo mali wakina Regina wameweka nguvu zao mpaka yeye kuvutiwa nayo?
Hiyo ya kusema walishachukua ya mama yao haina nguvu na ni kutaka kushindana nao tu.
Ni ujinga kuwa na bilionea ushindwe kuwa na kikampuni hata cha kuuza karanga za 50 Tanzania nzima ukawa unasambaza.


Sent using Jamii Forums mobile app
Its very funny miaka 9 anataka aende sawa na watoto wenye miaka 50 who been thru hell kumsaidia baba ao
Na hata sasa ni part ya management ya hizo mali

hata kama mimi ningekua Regina nisingemzoea Jacky kabisaa.,zaidi wallahyy ningemrestisha hakyanani wabaki watoto
Jacky ajichunge
 
Huna unalojua wewe Hiyo Channel 5 unadhani alianzisha Nani ??? Hiyo ilianzishwa na Abiel mtoto wa mengi.. Mke wa Zamani wa mengi ni mtoto wa kishua na kwa pamoja walichangia kuinua issue za mengi ndio maana baada ya kuachana waligawana 50-50

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna asiejua alichofanya Abdiel kwenye media?

Mi nazungumzia hawa watoto wake wakubwa walio hai. Kama marehem mdogo wao wa mwisho kafanya yale wao wamefanya nini binafsi kwenye biashara?

By the way, nadhani sikujibu tena. Mwenyewe umeshasema una chuki binafsi sasa kuna anaetegemea utatoa fair opinion? We nenda kamalizane nae usilete vi povu vyako huku!!!
 
Back
Top Bottom