Bambushka
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 3,952
- 7,218
Huyu bado ana akili za madanga pamoja na kuwa aliolewa na bilionea, hajui silence speaks volume...
Familia iko kimya...mahakama inafanya yake..yeye anasema jambo likiwa mahakamani siyo siryi linazungumzwa nje??kabla ya uamuzi wa mwisho, hukumu, kutolewa??
Angejua kwa mwendo huu watz, tunaielewa familia zaidi kuliko yeye...
Jackie kaa kimya, katemea nyongo chooni..Utapoteza
Everyday is Saturday...................😎
Familia iko kimya...mahakama inafanya yake..yeye anasema jambo likiwa mahakamani siyo siryi linazungumzwa nje??kabla ya uamuzi wa mwisho, hukumu, kutolewa??
Angejua kwa mwendo huu watz, tunaielewa familia zaidi kuliko yeye...
Jackie kaa kimya, katemea nyongo chooni..Utapoteza
Everyday is Saturday...................😎