Jacqueline Mengi: Maneno ya kashfa na kumchafua mume wangu yamesemwa mahakamani, sikubali usuluhishi hadi yakafutwe

Jacqueline Mengi: Maneno ya kashfa na kumchafua mume wangu yamesemwa mahakamani, sikubali usuluhishi hadi yakafutwe

Makiseo,
Yaani Regina Mengi mtu mwenye umri wa zaidi ya miaka 30 alikuwa analilia upendo wa kitoto kutoka kwa baba yake ili iweje? Hizo ni fix tupu.

Ukweli ni kwamba, watoto wa Mengi walikuwa upande wa mama yao na walikuwa kinyume na Mengi muda mwingi wa maisha yao.

Mengi alimuoa Jackline akiwa tayari ameachana na mke wake wa kwanza miaka 20 iliyopita. Hivyo Jackline alikuwa faraja ya Mengi katika kipindi ambacho Mengi alikuwa katika maisha Upweke na Msongo mkubwa.

Jambo moja kubwa ambalo watu wanasahau ni kuwa, Mengi kumuoa Jackline ilikuwa ni maisha yake binafsi na maamuzi yake binafsi, hatupaswi kuyaingilia wala kuyahoji sana. Kama Jackline alikuwa na kiburi au jeuri, basi vyote hivyo vilikuja kwa sababu alikuwa anapendwa na Mengi au Mengi alikuwa anavipenda.

Sasa inakuwaje watu tuumie kwa Jackline kuvuna mali za Mengi wakati mwenye mali mwenyewe akiwa hai alitamka na kuandika hivyo katika wosia wake?
 
Nime skiliza huyo dada anavyo ongea yeye mwenyewe roho ina msuta anavyo waita eti watoto wetu wengine yaani regina na kaka yake wakati kiumri yawezekana hata regina kamzidi Jacqueline ama kweli kitanda kime mpa heshima Jack ya kuwaita Regina na kaka yake watoto zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani uongo?
Regina na Abigali ni watoto wa Mengi kwa mke wa kwanza, hivyo Jackline ni mama yao wa kambo. Ni mama yao!
Hivyo wakiitwa watoto ni sawa tu.
 
Hata Mahakama ikigawa mali upya huyu jackie na wanawe wanaishia kuwa ma bilionea. Na believe it or not palipo uhai, by the time mapacha wake wanafika umri sawa na watoto wakubwa wa mengi huyu jackie atakuwa amejenga business empire kubwa kuliko mali yote aliyoiacha mengi!!!

Huyu dem ni strategist na ana akili ya biashara kuliko wale watoto wakubwa wa mengi. Kwa kifupi zikiibuka business empire mbili tofauti, ya huyu itakuwa zaidi kuliko ya familia ya mke wa kwanza!!!
 
Kinachopingwa mahakamani ni huo wosia wote kwa ujumla wake hivyo wakishinda kesi maana yake kila kilichoelekezwa kwenye wosia kinatupiliwa mbali na mahakama itagawa upya kadri itakavyoona inafaa katika kuhakikisha haki inatendeka kwa warithi wote


Sina uhakika lakini niliwahi kusikia kwenye huo wosia imeandikwa hata ikitokea watu wakapinga wakaenda mahakanani na kushinda, walipwe 1,000/- tzs. Inamaana maamuzi yeyote yameshatolewa majibu kwenye wosia.
 
Hao ndugu zake Mengi walishawahi kuzamisha dudu ya Mengi kwenye miili yao ili tuwafananishe na kujua nani ana uchungu wa kweli?
Vipi nyinyi kwenye UKOO na familia yenu ndugu wanazamishana dudu ?

Kama kigezo kuzamisha dudu,Mengi kazamisha kwa wangapi au ww unamwonea huruma Jack sababu ya kuzamisha dudu ya Mengi? au kwa huo mtizamo wako unamtofautishaje na Kahaba.

Kwa hiyo wewe kipimo cha kuwa na uchungu na mtu ni kuzamishwa dudu,je ww mpaka sasa washazamisha dudu ngapi kwako ?
 
Hata Mahakama ikigawa mali upya huyu jackie na wanawe wanaishia kuwa ma bilionea. Na believe it or not palipo uhai, by the time mapacha wake wanafika umri sawa na watoto wakubwa wa mengi huyu jackie atakuwa amejenga business empire kubwa kuliko mali yote aliyoiacha mengi!!!

Huyu dem ni strategist na ana akili ya biashara kuliko wale watoto wakubwa wa mengi. Kwa kifupi zikiibuka business empire mbili tofauti, ya huyu itakuwa zaidi kuliko ya familia ya mke wa kwanza!!!


Yaani Jack ana strategic plan kuhusu biashara? Unaota mkuu.Jack hatawesa kuwa bilionea..kwasabbu deep inside anajua sio mkweli..hkunaga..hela inataka usafi wa rohomkuu...huyo ataishia level hizo hizo...kwa ubilionea nakataa! Hana akili hizo..umekaa na mume 9yrs unakuja kufanya biashara za furniture?? Khaa
 
Mzee mungu amrehemu, tabia ya kuwazoesha watoto maisha ya raha ni hatari sana. Wakiwa wenyewe hapo baadae, watajua raha tu.
 
Jack hana washauri? Hajui kuwa hiyo mali wakina Regina wameweka nguvu zao mpaka yeye kuvutiwa nayo?
Hiyo ya kusema walishachukua ya mama yao haina nguvu na ni kutaka kushindana nao tu.
Ni ujinga kuwa na bilionea ushindwe kuwa na kikampuni hata cha kuuza karanga za 50 Tanzania nzima ukawa unasambaza.


Sent using Jamii Forums mobile app


I second u...jack amestuka kumekuchwa..huyualipaswa kuwa na kampuni.kubwa..mitenda yote serikalini anaipata...yaani deal za ujenz zote angekuwa anafanya yy mbona hata huo urithi asingehangaika nao!!..kwenye miti...
 
Hata Mahakama ikigawa mali upya huyu jackie na wanawe wanaishia kuwa ma bilionea. Na believe it or not palipo uhai, by the time mapacha wake wanafika umri sawa na watoto wakubwa wa mengi huyu jackie atakuwa amejenga business empire kubwa kuliko mali yote aliyoiacha mengi!!!

Huyu dem ni strategist na ana akili ya biashara kuliko wale watoto wakubwa wa mengi. Kwa kifupi zikiibuka business empire mbili tofauti, ya huyu itakuwa zaidi kuliko ya familia ya mke wa kwanza!!!
Kilaza Huyo Hana akili mzee alimfungulia amorete company mpaka Sasa inaishia kufa ... Alinunuliwa hisa huko Dubai ... Kwa kifupi Huyo manzi Ni kichwa panzi Hana akili, ni darasa la saba asiejielewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani Jack ana strategic plan kuhusu biashara? Unaota mkuu.Jack hatawesa kuwa bilionea..kwasabbu deep inside anajua sio mkweli..hkunaga..hela inataka usafi wa rohomkuu...huyo ataishia level hizo hizo...kwa ubilionea nakataa! Hana akili hizo..umekaa na mume 9yrs unakuja kufanya biashara za furniture?? Khaa
Alipaswa kuji engage kwenye private business mapema, ame declare alikuwa anamlea mzee. Mapemaaaa wangeweza kujenga public awareness jack kucontrorl biashara zake binafsi. Aidha ziwe za watoto tu. Kwa sasa amechelewa, ataishi maisha magumu sana. Hata zari amemshinda.
 
Jack nilikucheki last month kwenye dili flani ukanipotezea.

Nafurahi sana kwa yanayokukumba tena hapa nilipo nazidi kuchoma Udi kutoka Unguja ili upatwe na shida zisizomithilika hayawani wewe.

Naona Dua zangu zinazidi kufanya kazi. Familia ya wengi msiniangushe. Chocheeni Moto kisawasawa mpaka Maji aite "M-Ma" au aanze kupanda Bodaboda.

Na Bado

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alipaswa kuji engage kwenye private business mapema, ame declare alikuwa anamlea mzee. Mapemaaaa wangeweza kujenga public awareness jack kucontrorl biashara zake binafsi. Aidha ziwe za watoto tu. Kwa sasa amechelewa, ataishi maisha magumu sana. Hata zari amemshinda.


There you are...Zari na Jack sio league moja..zari ni smart sna sana
 
Kilaza Huyo Hana akili mzee alimfungulia amorete company mpaka Sasa inaishia kufa ... Alinunuliwa hisa huko Dubai ... Kwa kifupi Huyo manzi Ni kichwa panzi Hana akili, ni darasa la saba asiejielewa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mke wa kwanza wa marehemu by the time ana umri wa k-lyin aliazisha biashara gani ya kwake binafsi yeye kama mke? We huoni fenicha nzuri zile? Na hao watoto wa mwanzo wamewahi kuanzisha biashara gani binafsi tuone ubunifu wao? Kwa hiyo hata kama hiyo ya fenicha haijasimana ni sehemu ya biashara, si lazima unapoanzisha isimame ila mtu uoneshe ubunifu!!! Mengi mwenyewe alipitia kuanzisha na kufunga biashara tofauti tofauti!!!
 
Kama hiyo will aliandika Mengi mwenyewe hayo mambo ya Jack aliikuta mali ni rubbish tu.

Mwenye hela zake aliamua kumpa zote si watafute za kwao na wao.

Ngoja tuone watawezaje kuithibitishia mahakama kwamba Mengi alikuwa "chizi" since 2017 alivyoandaa huo wosia.
 
Back
Top Bottom