Sandiego
JF-Expert Member
- Dec 18, 2018
- 1,288
- 2,075
Makiseo, Mkuu unachekesha Sana!!
Umri wa Regina na Abdiel ulikuwa sio umri wa kutegemea upendo wa baba yao!!
Walitakiwa watafute wenza wao ili wawapende na sio baba yao!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Umri wa Regina na Abdiel ulikuwa sio umri wa kutegemea upendo wa baba yao!!
Walitakiwa watafute wenza wao ili wawapende na sio baba yao!!
Sent using Jamii Forums mobile app