Jacqueline Mengi: Maneno ya kashfa na kumchafua mume wangu yamesemwa mahakamani, sikubali usuluhishi hadi yakafutwe

Jacqueline Mengi: Maneno ya kashfa na kumchafua mume wangu yamesemwa mahakamani, sikubali usuluhishi hadi yakafutwe

Jack hana akili kabisa,anataka wafute kuwa Mengi alikuwa na cognitive problems ili ashinde kesi ya urithi? Yaani ameishi na Mengi kwa miaka 9 basi anajiona kama kashiriki kutafuta mali na Mengi. Jack anataka Mengi asiwagawie hata mia wanae wakubwa eti kisa walipata share kwa mama yao. Sasa hawastahili kupata share kutoka kwa baba yao?
 
Jack anajichanganya maelezo.
Angalia dakika ya 31 ameulizwa kuhusu Hospital dubai.

Akasema

*mme wangu alidondoka hotelini walikuwa wanatembea, wakapiga reception wakaitiwa Ambulance....
Baadae akasema aliwauliza reception wawaelekeze hospital maana hazijui. Je ambulance inaweza isijue hospital?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana waswahili wanasema alihusika kuandika ule wosia maana alitaka wakubwa wasipate sababu tayari walishapata kwa Mama hivyo 50 iliyobaki ni yake
Jack hana akili kabisa,anataka wafute kuwa Mengi alikuwa na cognitive problems ili ashinde kesi ya urithi?Yaani ameishi na Mengi kwa miaka 9 basi anajiona kama kashiriki kutafuta mali na Mengi.Jack anataka Mengi asiwagawie hata mia wanae wakubwa eti kisa walipata share kwa mama yao.Sasa hawastahili kupata share kutoka kwa baba yao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna cha kupenda ndugu hapa, mume akifa ndio ndugu mnaanza kujifanya mna uchungu sana. Hapo hadi sahivi imeshakula kwao, hadi wanaanza kuweweseka eti wanamuomba wayasuluhishe , hahaahaha...ndugu ni mapepo
Angempenda Mengi angependa na ndugu zake, yeye alikua na maslahi yake, ndugu za Mengi wamemu expose hivyo anachukia...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani ktk interview nilimshangaa na kuhisi kimeo pale aliposema kua walikua wakifika machame wanafikia nyumba ya familia baadae mme wake akaone ajenge awe na mji wake awe huru yaani nkajua tayari jini hiloo 'makata wa makatani kashaingia hakuna amani tena'vululuvululuu kaingia kavunja kila kitu alichokuta yaani ni mbinafsi haswaa. Makiseo,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo ndio mmeshangaa ujue ina maana anataka wanawe wawe sawa na wale so wasipate za baba yao duh!
Jack hana akili kabisa,anataka wafute kuwa Mengi alikuwa na cognitive problems ili ashinde kesi ya urithi?Yaani ameishi na Mengi kwa miaka 9 basi anajiona kama kashiriki kutafuta mali na Mengi.Jack anataka Mengi asiwagawie hata mia wanae wakubwa eti kisa walipata share kwa mama yao.Sasa hawastahili kupata share kutoka kwa baba yao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anatapatapa na mali aliyoikuta imetengenezwa tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna siku nlikuwa napiga story na mama mmoja wa mjini mjini sanaaa ila ni muda sana akanipa namna gani Hao walivyokutana. Aise Kuna watu Wanajua kugonganisha magari. Na pia kumbe Kuna mtandao wa uwindaji[emoji23]
Ili fulani awe na fulani, unawekwaaaa

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom