Jacqueline Mengi: Maneno ya kashfa na kumchafua mume wangu yamesemwa mahakamani, sikubali usuluhishi hadi yakafutwe

Jacqueline Mengi: Maneno ya kashfa na kumchafua mume wangu yamesemwa mahakamani, sikubali usuluhishi hadi yakafutwe

Makiseo, Mimi namjua tokea anasoma forodhani
Mwalimu mkuu wa shule alikuwa anaitwa mbuya
Kaanza mambo mengi akiwa shule ya msingi
Tuyaache hayoooo

Aliishi na Mbulgaria Kuna wakati unaikumbka kisa kile ilisemekana walitoroshwa na wakawa wanatafutwa hadi Interpol kuingilia kati?

Huyu Dada wasimchukulie poa kashapigana vita vingi kajanjaaa

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Madhara ya kuzaa watoto na mama tofauti tofauti, madhara ya kuwa na wake wengi kwa wakati mmoja ama nyakati tofauti za maisha,



Take it or leave it, ni rahisi kwa mama aliezaa watoto na wanaume tofauti tofauti kuwaunganisha chini ya mwamvuli mmoja na watoto wote wakapendana kuliko baba aliezaa na wanawake tofauti kisha awaweke katika mwamvuli mmoja. Ni ngumu sana, asilimia 99.99% ya wanaume wengi hawawezi unganisha watoto waliozaa na wanawake wa nje, mwanamke anaweza, akizaa na wanaume tano, anaishi na watoto wake wote wa 5 na kiwalea kwa upendo as if wametoka kwa baba mmoja.

Madhara ya ndoa za mtu mzima na binti, tayari una watoto, tayari age go, unaenda kujibana na kabinti kenye umri sawa na watoto wako, abiel na regina ni age-mate sawa na k-lyn so do you see some respect ahead? huweza oa mwanamke rika kama la watoto wako ukitegemea watamuheshimu, never deep down the earth.

Vita ya mirathi haijawahi malizika salama, nadhani ni rahisi sana kumaliza vita ama kesi za madawa kuliko mirathi, kuna kesi ziko mahakamani, 35 years na hazijawahi kuisha, kuna kesi za mirathi zina 20 years, si simple kama watu wanavyofikiria, waliowahi pitia katika kesi hizi wanajua balaa lake.

Wengine wanaweza kusema ametafuta sympathy kwa jamii wengine watasema yuko right, hakuna aliewahi kukosa ama kuwa sahihi katika kuongea, everyone is right before proof, before fact and before judgement. Amefafanua yake ya moyoni, uvumilivu wake umekomea pale (endurance level), now she needs some breath ahead for new battle. Lakini je who knows what the late mengi said? What made benjamin mengi kwenda mahakamani kuweka zuio??? Words ambazo benjamin and regina said?? Hakuna kati yetu anayejua, so why do we judge she is right or she is wrong while its a one sided story? Umesikia na ya upande wa pili?

Neutrality is the better option for this matters, i think its kind of news just like other news, has nothing to do with whata is goong on, as long as alisema kesi iko kwa mahakama lets leave it mahakam waamue sio kesi iamuliwe kupitia exclusive ya millard ayo au majaji na wanasheria wa jamii forum platform.
 
Inavosemekana ndugu wamedai marehemu aliandika urithi akiwa amepoteza akili kidogo nafikiri ndo hyo maana Jack amesema yeye hawezi kusema hvyo itakua sawa na kumkosea marehemu

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwani Uongo? Mzee Kama Yule Kudate Na Mwanamke Umri Wa Mjukuu Wake Si Ni Uchizi Huo? Au Mambo Ya Second Chance In Real Life
 
Huyu mzee many naye alibugi kuishi naye
Kumbuka ashaishi na knje tena Akaishi na yule mafi@ wa kibulgaria aliyetimuliwa nchn
Ngj niishie hapa

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Alibugi sana, kwa Umri wake alitakiwa kutafuta Mmama ,sio kukimbizana namtu ambaye Umri wake bado unaongozwa na mwili .


Huyo Mzee Pamoja na changamoto zakiafya alizokua nazo , Nje ya Huyu dada Asingekufa mapema.
 
Huyu mzee many naye alibugi kuishi naye
Kumbuka ashaishi na knje tena Akaishi na yule mafi@ wa kibulgaria aliyetimuliwa nchn
Ngj niishie hapa

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu haya ni maisha!

Na kwenye Safari ya maisha Kuna Mambo mengi!!

Kwani wewe kabla ya kuishi na huyo uliyenaye ulishaishi na wangapi!!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Case hii k lyn ana nafasi kubwa sana ya kushinda.. ndio maana anakomaa iamuliwe na mahakama sio na vikao vya ndugu nje ya mahakama..

Hoja za mzee Mengi alichanganyikiwa.. itahitaji ripoti ya hospitali. Hapo ndipo patamu
Ndugu we acha kabisa, usiseme hivyo, I know this issues za mirathi, sio kama hivyo mnavyodhani, Nina very big experience na hayo, hata wosia ukiwepo utashangaa huyo Jacq asishinde, sababu huwa wanarudi nyuma hadi kwenye mila na desturi, na hizi huwa na nguvu sana kwenye kesi za mirathi.

Na wakifuata hizo basi ndugu watashinda mapema kabisa (if you know mila za kichaga), anyway Mimi sijui nani mwenye haki nani hana haki ila Mungu asaidie kila MTU apate stahiki yake sawasawa na anachostahiri. Wosia hauaminiki kwa sababu ambazo nashindwa kuzichambua hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom