Bella Ciao
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 1,804
- 4,461
Umesahau hapo uliposema "ingekuwa wewe ni jack ungekuwa na mabilioni"[emoji23][emoji23]Sasa uxhaona me nalilia fwedha? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wee vepeeeeeeeh
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushahidi unaweza kuonesha kweli uliandikwa na marehemu enzi ya uhai wake lakini ikabainika kwamba haujakidhi vigezo na taratibu za kuandika wosia hivyo ukawa batili na ikitokea hivyo maana yake unafutiliwa mbali na hakutakuwa hata na kipengele kimoja kitakachotekelezwa
Kule tunasubiria warudi mahakamani,ila familia itashinda kesi mchana kweupe,yule mtoto anapewa maneno na wajomba zake ili waendelee kula mali ya erasto
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mke wa kwanza wa marehemu by the time ana umri wa k-lyin aliazisha biashara gani ya kwake binafsi yeye kama mke? We huoni fenicha nzuri zile? Na hao watoto wa mwanzo wamewahi kuanzisha biashara gani binafsi tuone ubunifu wao? Kwa hiyo hata kama hiyo ya fenicha haijasimana ni sehemu ya biashara, si lazima unapoanzisha isimame ila mtu uoneshe ubunifu!!! Mengi mwenyewe alipitia kuanzisha na kufunga biashara tofauti tofauti!!!
Yaani ktk interview nilimshangaa na kuhisi kimeo pale aliposema kua walikua wakifika machame wanafikia nyumba ya familia baadae mme wake akaone ajenge awe na mji wake awe huru yaani nkajua tayari jini hiloo 'makata wa makatani kashaingia hakuna amani tena'vululuvululuu kaingia kavunja kila kitu alichokuta yaani ni mbinafsi haswaa. Makiseo,
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Kinje alimnyanganya hadi Funguo ya gari.. Ni ana mambo huyu.. Amshukuru tu Mzee kwa Kumfanya akawa Mdada wa Mjini. mrangi,
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu dada kama anaonewa atulie kwani ataipata haki yake. Ila kama kuna mabaya aliyoyafanya hatakuwa na amani maisha yote. Dhuluma haijawahi kumuacha mtu salama,na mbaya inakula hadi vizazi vinavyofuata.Huyu Dada angenyamaza Tu Kimya.. Asubiri Mahakama itaamua nini..
Hawezi kuniaminisha ana Upendo kwa Mengi kuliko Ndugu zake
Anazidi kujichanganya na kutaka Huruma ya Jamii.
Sent using Jamii Forums mobile app
kiongozi mama wa kambo mwenyewe kyln hahaaa nitamzoea tu 🤣🤣Nilichogundua Mtoto wa Kiume Nirahisi kumzoea Mama wa Kambo kuliko Mtoto wa Kike.
Ndio maana waswahili wanasema alihusika kuandika ule wosia maana alitaka wakubwa wasipate sababu tayari walishapata kwa Mama hivyo 50 iliyobaki ni yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Just imagineLadyRed, Way back
Huyu manzi kabla hajaolewa na mzee mengi si alikuwa anakatiza korido za EATV kuomba sapoti kwa REGINA sasa anataka Regina amlambe miguu kisa yeye alikuwa analala na mzee chumba kimoja[emoji44]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23]Tukumbuke wana shilingi elfu moja tu za kitanzania kama wakishinda kesi
Sent using Jamii Forums mobile app