THERE YOU ARE.....naona watu wanaangalia upande mmoja tu....haya mambo ya familia MUATHIRIKA MKUU ALIKUWA MENGI kwanza hatujui kwa nini walitalakiana na mke wa kwanza,lkn pia issue ya kumpangia mzee aoe nani hapa lazima ndiyo mgogoro ulipoanzia...familia nyingi za kiafrika hupenda kuingilia mahusiano ya watu.NAAMINI MENGI ALIKUWA NA SABABU NYINGI ZA KUANDIKA WOSIA ALIOUANDIKA
Issue kubwa hapa ni tafsiri ya kisheria ya nini ni mali za Mengi na nini haki za warithi wake na sio dhana kuwa yeye na mkewe wa kwanza 50/50 , hivyo watoto wakubwa walishapata kwa Mama , je cha baba hawana haki nacho?? Na kama wana share kabla ya hapa ,je ina maana walisha pata chao au na hili la share za baba nao wamo??Case hii k lyn ana nafasi kubwa sana ya kushinda.. ndio maana anakomaa iamuliwe na mahakama sio na vikao vya ndugu nje ya mahakama..
Hoja za mzee Mengi alichanganyikiwa.. itahitaji ripoti ya hospitali. Hapo ndipo patamu
Asantee umemaliza yote,kinachomfanya ayalete kwenye mitandao ni nini? Baada ya kuona Mahakama imempa Regina haki ya kuwa Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP ameanza kuruka ruka,seriously alidhani yeye ndiye angekuwa Mwenyekiti ?
Hana haya yule kumuita Regina mwanae wakati alikua bwana wake.Mume wangu, mume wangu , mume wangu, baba watoto wangu, mume wangu kipenzi, kaburi la mume wangu!
Watoto wetu wakubwa na mume wangu, mume wangu na watoto wetu wakubwa[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Bufa,
Unaongelea scenarios za Ulaya na USA hapa Tz? Ulishaona wapi hapa Tanzania mbwa akaachiwa Urithi na ikawa hivyo? Ukiona mtu anapiga yowe kwenye mitandao wakati wenzie wako kimya ujue maji yako shingoni! Kwamba kwakuwa watoto wakubwa walipewa shares za Mama yao basi hawana haki ya shares za Baba yao,hapo ndipo penye mtihani,kama unazijua vizuri sheria za mirathi za Tanzania! Yeye apunguze tamaa,haki yake na watoto wake atapata lkn sio kama anavyowish yeye.
Angempenda Mengi angependa na ndugu zake, yeye alikua na maslahi yake, ndugu za Mengi wamemu expose hivyo anachukia...
Klyn alifikiri watoto wa Mengi wana akili za Kinyaturu au Kimakonde kapatikana huyo Muha those are pure Machemenian, nimewapenda bure hao watoto kwa mtiti waoNamwangalia huyo Jaq namwonea huruma vita yake na wachagga tena wamachame
Watu na akili mingi Repubic of Chaggas angekaa kimya kau
Klyn alifikiri watoto wa Mengi wana akili za Kinyaturu au Kimakonde kapatikana huyo Muha those are pure Machemenian, nimewapenda bure hao watoto kwa mtiti wao
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Mume wangu, mume wangu , mume wangu, baba watoto wangu, mume wangu kipenzi, kaburi la mume wangu!
Watoto wetu wakubwa na mume wangu, mume wangu na watoto wetu wakubwa[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheks sana mkuu,dah.Mume wangu, mume wangu , mume wangu, baba watoto wangu, mume wangu kipenzi, kaburi la mume wangu!
Watoto wetu wakubwa na mume wangu, mume wangu na watoto wetu wakubwa[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee hapa aliteleza sana.Jack hana akili kabisa,anataka wafute kuwa Mengi alikuwa na cognitive problems ili ashinde kesi ya urithi? Yaani ameishi na Mengi kwa miaka 9 basi anajiona kama kashiriki kutafuta mali na Mengi. Jack anataka Mengi asiwagawie hata mia wanae wakubwa eti kisa walipata share kwa mama yao. Sasa hawastahili kupata share kutoka kwa baba yao?
si anajisahaulisha tu huyu!But Msingi wa kesi ndio muhimu hapa,unadhani Benjamin anapinga wosia ili arithi yeye Mali au anapinga wosia ili watoto wote wa Marehemu na Mjane wapate haki kila mmoja kwa mujibu wa Sheria ya Mirathi?
Nadhani ile kauli waliyosema mzee alipagawa katika siku za mwishoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
hao watoto wakubwa wa mengi wana matatizo sana, mpaka uzinduzi wa kitabu cha mengi uliohudhuriwa na rais magufuli hawakuwepo , high table yuko jack na watoto wake. imagine! event kubwa hivyo ya baba yenu hamumsapoti, ulitegemea atawaachia urithi wakati walimsusa? hata ingekuwa ni mimi mengi nisingewaachia kitu, hao watoto watakuwa na laana ya baba yao.