Jacqueline Mengi: Maneno ya kashfa na kumchafua mume wangu yamesemwa mahakamani, sikubali usuluhishi hadi yakafutwe

Mimi nimecheka kweli hiyo ya kumuonea wivu jack kwa lipi jamani.
 
Ajabu sana kuwaita watu wazima wa rika lako eti "watoto wetu". It's totally absurd in every sense. Naona huyu mdada katumia kauli ya "watoto wetu" akimaanisha watu wazima kiumri pengineo kumzidi hata yeye mwenyewe makusudi kama rhetorical leverage ya kuonyesha kuwa walengwa wajione wana inferior social status ukilinganisha na yeye binafsi. It makes you wonder the kind of arrogance she has in her to come up with this kind of stuff. Utalazimishaje kuwaita watu wazima eti "watoto wetu" wakati presumably wao wenyewe hawakuchuklulii kabisa kama mzazi wao au hata mother figure?
 
But Msingi wa kesi ndio muhimu hapa,unadhani Benjamin anapinga wosia ili arithi yeye Mali au anapinga wosia ili watoto wote wa Marehemu na Mjane wapate haki kila mmoja kwa mujibu wa Sheria ya Mirathi?
yeye anapinga kama nani? maana kina Reginna umri wao unaruhusu kufungua kesi...........
 
Umeshapewa limbwata wewe na akili yako imeshaliwa na mchwa , kabla ya ndoa si ulilelewa mjinga wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahhaaaaa mkuu kulikua na rumours kwamba mama alitaka kum-wahisha mzee housegirl ndio aliokoa jahazi!


hii tetesi kuna miaka ilitamba sana, mzee akaamua avunje ndoa!
 
This woman is stupid

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke wa umri wake hadi kujiona self-appointed mom wa watu wazima and that in the midst of a huge legal conflict na hao hao "watoto wake", that says a lot about what kind of corrupt person she really is.
 
Ndjabu Da Dude, Ofcoz kijamii ni watoto wa jacky wale. wapende wasipende! baba yangu hata akioa mke mdogo kwangu bado nitamwita mama mdogo! siwezi kukwepa hili!

alafu watakua wajinga kumchukia Jacky kwa hilo, maana baba ndiye muoaji..... kwani jacky alijipeleka au alipelekwa na mengi?
 
Umeshapewa limbwata wewe na akili yako imeshaliwa na mchwa , kabla ya ndoa si ulilelewa mjinga wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu, kwanini unanitukana wakati sijaku-quote wewe? unasemaje nililelewa wakati hunijui?.......

wakati mwingine sio lazima kila kitu ujibu, wengine ndoa zetu zina amani na tunaishi kwa furaha na wake zetu!,

my best friend ever is my wife,......
 
Mimi nimecheka kweli hiyo ya kumuonea wivu jack kwa lipi jamani.

Ndo waja wanasema humu....kuna mdada i used to love her a lot na hustle zake..suddenly nimemsahau jina..huyu dada yy nakumbuka alikua anaorganize hizi trips za kwenda nje sijui china ..!

Alikua anaoneshwa sana clouds enzi ya Ruge...honestly yule mm ndo naweza mtetemekea....maana alishajibrand sana na biashara yake.

Hela ya kupewa haina hata raha ..yaani binafsi hajanifanya nimuonee wivu hata kidg..apambane tu na maugomvi aloyaanzisha!
 
Okay Jackie ana matatizo yake na historia chafu. Ila ni wazi kulikuwa na matatizo makubwa kimahusiano kati ya watoto wakubwa na marehemu ambayo hatuyajui kwa upana!!!

Sasa sheria pembeni, kwenye ishu za mila za wengi wetu, mzazi akifa na kuacha usia wa kinyongo (grudge) halafu mkafosi kuubadilisha, hiki ni chanzo maarufu sana cha laana kwenye mali ya urithi. Ule usia umeandikwa na marehemu akiwa bitter sana na hakutaka kuugusa kubadili hadi umauti.

Kwa hiyo haya mambo wasiangalie asilimia100 mahakamani tu! Waangalie mustakabali mpana na vile vile kuokoa roho sinazoweza kupotea kwenye hii vita. Ikiwezekana watu wenye busara washirikishwe si mahakama tu!
 
What a coincidence, shortly after writing such a bitter will he died.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…