Haya mambo ni makubwa sana kwa Jack, mambo ya makampuni sijui shares kayajua ukubwani, wenzake akina Regina tokea wadogo. Halafu tatizo mali anazotaka watoto wakubwa wanazimamia, inahitajika moyo kuwang'oa. Hivi alishindwa nini kumshawishi Mengi auze share zake akawekeze kwingine kama alipendwa hivyo?Bibie na washkaji zake walikosea mno timing!!.. IPP media kitambo inasimamiwa na Regina Yani kabla hata Mercy kufariki!!!...huyo Abdiel family ilimtoa makusudi akawa yeye Ana operate kwenye makampuni yote pamoja na Benjamin na baadhi ya Mashemeji wa Reginald!!.. Bibie alitakiwa afanye vyake Sasa amekosea zaidi biashara zake kaziweka kwenye eneo la Mama Mercy!!!... sijui Nani anamfundisha huyu au anataka watu waamini maneno ya Mtikila Marehemu
Laana sio uchawi chiefTofautisha “MILA” na “UCHAWI”!
Two different things,get that in your head mzee!
Unachanganya changanya concepts tu hapa!
Ofcourse walijipanga kumzuia. Huhitaji degree kujua hilo. Nikwasababu tayari wako kwenye mgogoro.Ya kunyimwa kuona kaburi nadhani anaikuza tu, kiungwana kama unakwenda sehemu ambako kuna mwenyeji wako lazima utoe taarifa tu jamani ndugu zangu nitapita kuona kaburi la mzee hasa kwenye nyumba zenye mageti hizi sio kwenda tu. Hata yeye ameishi nyumba za mageti huwa mtu huendi tu kisa tu pale ni kwa ndugu yako lazima utauliza kwanza kama wapo nyumbani then unapita (maana ukienda mara 2 ama 3 bila hata kusema "hello" kwa mwenyeji wako tayari wewe utakuwa una tatizo)
Bibie na washkaji zake walikosea mno timing!!.. IPP media kitambo inasimamiwa na Regina Yani kabla hata Mercy kufariki!!!...huyo Abdiel family ilimtoa makusudi akawa yeye Ana operate kwenye makampuni yote pamoja na Benjamin na baadhi ya Mashemeji wa Reginald!!.. Bibie alitakiwa afanye vyake Sasa amekosea zaidi biashara zake kaziweka kwenye eneo la Mama Mercy!!!... sijui Nani anamfundisha huyu au anataka watu waamini maneno ya Mtikila Marehemu
Huyu mwanamke alichangia sana kuharakisha kifo cha Mzee Mengi. Yaani kwa umri ule bado tu alikuwa anataka kumzururisha Mzee badala ya kupumzika hapa nchini. Yaani alikuwa amem-control vibaya mpaka Mzee anaanza ku-post ma-video ya kijinga mtandaoni kama teenager vile ili kuuhadaa uma kuwa anapendwa mno. Aridhike na alichokipata maana hata kama Mengi ndiye angekuwa mzee wangu nisingekubali huo ujinga.
kuna mengi ambayo hayajulikani hapo, juzi nimeangalia mahojiano ya ma house girl wa wengi, mmoja anasema mengi wakati anamuaga alisema hana pesa, yani pesa ya chakula kwa ajili ya hizo siku atakazokuwa hayupo
Sent from my iPhone using JamiiForums
Last days Mzee alikua anakaa Ndani tu anatoka kwenye shughuli muhimu!!.. Bibie hakujua chochote!!!..watoto wakawa wanampa Mzee fedha za matumizi yake binafsi ndio maana huko mahakamani Bibie anaona Mzee kazalilishwa kwasababu wameweka ukweli mchungu!!..Unazidi kunipa mwanga mkubwa katika hili Mkuu,sasa naelewa fika hapa Mziki ni mnene kwa Mjane,kumbe The Shangali’s Family pia wako wanarun hizi Business? Hapo ni atulize kiherehere kabisa kama anataka kuwa in Peace with the Family!
Hivi kweli hiyo Amorette kumbe iko kwenye eneo la Mama Mercy,akili za darasa la Saba B hizi haki (in Mimi voice [emoji3][emoji3])
Advocate wa mengi ofisi yake iko kigogo kati,[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nyamizi, Nguma naona alilipwa chake kwahiyo kampuni ikabaki na familia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hennah, Wanawake wanatamani sana jacky arudi chini kabisa aanze kudanga kama bongo movie[emoji16][emoji16][emoji16] alipo fika yule basi tena kurudi chini hivyo sio zoezi rahisi
Sent using Jamii Forums mobile app
1% ya utajiri wa bilioni 500 na zaidi bado ni nyingii sana.. yaani k lyn ubilionea umemjia kwa papuchi tu
1% ya utajiri wa bilioni 500 na zaidi bado ni nyingii sana.. yaani k lyn ubilionea umemjia kwa papuchi tu
Alie pata kapata hizo dua za kuku tu[emoji23][emoji23]Kurudi hatorudi lakini atakuwa kama chizi kabisa kabisa tena chizi fresh na atagawa kama njugu kabisa stress zake sio za nchi hii