Una proof yeyote ni “yeye” really aliandika?
Umefanya forensics uka prove hilo au unajiongelea tu?
Una uhakika gani kama sio yeye aliyeandika? Unadhani mahakama ni wajinga kiasi hiko kutokujua legit document or fake ?, ebu achen maneno ya mkosaji . Iwe kaandika au hajaandika jacky ni mke wake na kazaa nae so Mali lazima apate hilo sio suala la kujadili
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tunajua atapata mali...lakini sio kwa ndoto anazoota Jack..!naona anaota a dada yake kuwa Multimillionaire!atasubiri kidg...
Yani MTU kama mengi akose hela ya kula Lucas Mobutu
Jamani warumi wangu ndani ya nyumba!Acha uongo basi binamu, usiseme kwa lipi, bora tu useme umuonei wivu inatosha.. Jacky has got life probably ten times than you
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tatizo Jaq anataka kuwa Isabella dos Santos ...hiyo haitawezekanaTunajua atapata mali...lakini sio kwa ndoto anazoota Jack..!naona anaota a dada yake kuwa Multimillionaire!atasubiri kidg...
Yeye ndo alifosi king bana!Jack bhana eti watoto hawakuinjoi Zanzibar hivyo wakaamua wawapeleke Dubai. MZEE wa watu kwenye msiba wa ruge hata kunyanyua mguu vizuri alikuwa hawezi.
Sio bidada ndo aliwabania kwa mdingi maana alikuwa na bifu na hao mabeki tatumkuu, ndio house girl wake alisema hivo, ukiingia youtube ipo hiyo video, yani kwa mujibu wa house girl ,mengi kila akisafiri anaacha pesa ya matumizi mfano chakula, ila siku hiyo alisema hana pesa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tunajua atapata mali...lakini sio kwa ndoto anazoota Jack..!naona anaota a dada yake kuwa Multimillionaire!atasubiri kidg...
Tatizo Jaq anataka kuwa Isabella dos Santos ...hiyo haitawezekana
Sent using Jamii Forums mobile app
Matajiri tujichunge na hizi papuchi zakulengeshwa.Bahati nzuri wachaga wanaakili na walishtuka mapema.R.I.P Mzee Mengi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nijulishe chuo ulichosomea sheria nisijepata hasara kumpeleka mwanangu kusoma hapo....mnaomponda jack mnajifariji tu, kwa sisi wanasheria tunajua wosia wa mengi hakuna mahakama yoyote hapa duniani yenye uwezo wa kuutengua, uko sahihi na kisheria kwa 100%. hao ndugu zake sijui watapeleka ushahidi gani wa kudhibitisha mengi alichanganyikiwa. inatakiwa wapeleke ripoti ya daktari wa mengi kudhibitisha madai yao, labda wafoji, mwacheni jack ajimwambafy hakuna wakumdhulumu mali zake na watotn wake
Kuhusu Dada yake alifafanua why aliandikwa kwenye mirathi, sikiliza vzur interview , Incase kama jack akiondoka dunian wa kusimamia ni dada ake , ikitokea akifariki jacky
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mara moja moja uwe unafuatilia angalau documentaries za "investigation discovery" au "my little dirty secret" au "forensic files" Naamini utatoka kwenye hilo giza linalokuzingira...Wyatt Mathewson,
Haijalishi alikua katika hali gani, wosia umeandikwa umeandikwa , ukitaka kujua aliandika wakat anacheka au analia au ameweka Miguu juu wewe itakusaidia nini .
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwani report ya hospital haipatikani ? Au unadhani wao mpaka kutamka hayo hawajielewi ?Case hii k lyn ana nafasi kubwa sana ya kushinda.. ndio maana anakomaa iamuliwe na mahakama sio na vikao vya ndugu nje ya mahakama..
Hoja za mzee Mengi alichanganyikiwa.. itahitaji ripoti ya hospitali. Hapo ndipo patamu
Hatapata kitu. Sana Sana atamaliza hata sehemu yake.Ni muda wa "Return on investment" lazima apambane.
Una uhakika gani kama sio yeye aliyeandika? Unadhani mahakama ni wajinga kiasi hiko kutokujua legit document or fake ?, ebu achen maneno ya mkosaji . Iwe kaandika au hajaandika jacky ni mke wake na kazaa nae so Mali lazima apate hilo sio suala la kujadili
Sent from my iPhone using JamiiForums