warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Una proof yeyote ni “yeye” really aliandika?
Umefanya forensics uka prove hilo au unajiongelea tu?
Una uhakika gani kama sio yeye aliyeandika? Unadhani mahakama ni wajinga kiasi hiko kutokujua legit document or fake ?, ebu achen maneno ya mkosaji . Iwe kaandika au hajaandika jacky ni mke wake na kazaa nae so Mali lazima apate hilo sio suala la kujadili
Sent from my iPhone using JamiiForums